Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,049
- 122,432
Anza kumkaribisha kwanza unayemsifia kabla hujanikaribisha mimi, maana repulsion force haipimiki hapaUnaniuliza swali tena!?
Kama sijui ulichokitaja unataka iweje...mwanaume wa Dar duh karibu kijijini ule organic food.
Na uliyemtaja simfahamu, hivyo sijajua umemaanisha nini.