Mkuu wa Mkoa Mwanza, Magesa Mulongo, anaishi MALAIKA HOTEL analipa 6M kwa mwezi

Kamati ya bunge njooni huku

Hizo kamati zenyewe za bunge nazo ziko busy kuzurura na kutafuna mapesa.. Kuna ile moja ya Lembeli ilikuwa inazuru Afrika ya kusini na sehemu zake za vivutio, kisa wanajifunza utalii unafanywa vipi huko ilihali wanajua mwisho wao wa ubunge ni mwezi wa saba.. Alietuloga ameshakufa..
 
Afadhali huyu mkuu wa mkoa kuliko hoteli anayoishi sahizi dk. Slaa kule USA ambapo analipa 18.6Milion per day,sasa wewe unashangaa 6M per month? Tena anafanya kaz ya serikal wakat babu nafanya kaz za chama huko? Think twice.
Wewe ni kichaa
 
Huyu jamaa ni limbukeni sana!!

Na nimpenda sifa sana! Huwa ana ambatana na misururu ya magari mengi, nyuma na mbele -FFU, Trafic na Polisi wengi balaa. Pia DFP za kutosha.

Ni mtu anaye fanya siasana si mleta maendeleao sehemu husika.

Mfano: Mwz barabara tiyari zimeanza kubana. Jams everywhere, ila maajabu ya serikali ya JK; jamaa wanajenga mitaro mirefu pembeni ya hizo barabara badala ya kupanua barabara mapema kuondoka na foleni zisizo na msingi. Then next year wanabomoa mitaro eti tunapanua barabara!!!

AWAMU YA MADILI!!!!
 
Katika hali ya kushangaza na mikwara yote ya mkuu wa Mkoa Mwanza Magesa Mulongo anaishi katika Hotel ya kifahari MALAIKA BEACH RESORT iliyoko eneo la Ilemela Jijini Mwanza. Imefahamika analipa Tsh M6 kwa mwezi mbali na chakula cha familia yake ambayo anaishi nayo katika Hotel hiyo wakati makazi yake yapo na yanatumika.

Sasa cha ajabu nn ??
 
Afadhali huyu mkuu wa mkoa kuliko hoteli anayoishi sahizi dk. Slaa kule USA ambapo analipa 18.6Milion per day,sasa wewe unashangaa 6M per month? Tena anafanya kaz ya serikal wakat babu nafanya kaz za chama huko? Think twice.

Weka ushahidi hapa tuone.
 
Kipofu wa akili huwezi kuona milioni 6 kwa mwenzi kama kodi unaona ni sawa wewe unaingiza sh.ngapi kwa siku?

Nacho make kwa siku wewe hilo halikuhusu ila jua ni za kutosha...
Usi judge mtu kwa kumuangalia au kumsikia tu...Kama huyo Mh. ana miradi yake ya kumuingizia income ya kutosha, kama ana nyumba zake ame rent ameamua kuishi hapo kwenye hyo resort kuna shida gan ??
Heb tufanyeni kazi, hayo mambo tuwaachie kina mama.
 
Nacho make kwa siku wewe hilo halikuhusu ila jua nikwtosha...
Usi judge mtu kwa kumuangalia au kumsikia tu...Kama huyo Mh. ana miradi yake ya kumuingizia income ya kutosha, kama ana nyumba zake ame rent ameamua kuishi hapo kwenye hyo resort kuna shida gan ??
Heb tufanyeni kazi, hayo mambo tuwaachie kina mama.
Kwa hiyo hiyo hotel analipa kwa pesa mfukoni?
 
Kalashnikov uwenaakili timamu mengi amenukuu kilichomo kwenye gazeti kaziyako ww chukuagazeti soma kamanikweli ivi akiliyako ikoje ww kunguru wa chipeta
 
Back
Top Bottom