Mkuu wa mkoa Moro na katibu tawala morogoro

krava

JF-Expert Member
Nov 17, 2016
225
287
Ndg mkuu wa mkoa wa morogoro tunakuomba ufwatilie Sacco's inayoitwa kireka uko kule juu forest karibu na shule ya msingi nguzo


Sacco's hii inajumuisha watumishi wa umma walioko chini yako hapo mkoani morogoro.

Ilikuwa inakata makato ya wafanyakazi na makato yapo kwenye salari slip makato hayo yalikuwa kama akiba kwa muda Fulani mpk MTU atakapoaacha au kustahafu

Pia Sacco's hiyo ya kireka iliahidi mwaka 2004 kwamba itawapa watumishi viwanja wajenge na walivilipia

Ndg mkuu wa mkoa wa morogoro mpk wazee wamestahafu hawajapewa hivyo viwanja pia makato yao ambayo walichangia toka 2004 hawajalipwa mpk Leo wakati MTU amestahafu toka 2012

Mkuu wa mkoa morogoro tunakuomba fwatilia Sacco's ya kireka ni jipu naamini unasoma sana jamiigorum.

Nakutakia mwaka mpya mwema
 
Ndg mkuu wa mkoa wa morogoro tunakuomba ufwatilie Sacco's inayoitwa kireka uko kule juu forest karibu na shule ya msingi nguzo


Sacco's hii inajumuisha watumishi wa umma walioko chini yako hapo mkoani morogoro.

Ilikuwa inakata makato ya wafanyakazi na makato yapo kwenye salari slip makato hayo yalikuwa kama akiba kwa muda Fulani mpk MTU atakapoaacha au kustahafu

Pia Sacco's hiyo ya kireka iliahidi mwaka 2004 kwamba itawapa watumishi viwanja wajenge na walivilipia

Ndg mkuu wa mkoa wa morogoro mpk wazee wamestahafu hawajapewa hivyo viwanja pia makato yao ambayo walichangia toka 2004 hawajalipwa mpk Leo wakati MTU amestahafu toka 2012

Mkuu wa mkoa morogoro tunakuomba fwatilia Sacco's ya kireka ni jipu naamini unasoma sana jamiigorum.

Nakutakia mwaka mpya mwema
Mkuu kama upo Morogoro kwanini usimwandikie barua umpelekee in person?
 
Mpaka naandika hapa nimeshaenda kireka mara kibao toka 2012 kwa mguu wangu nakutana na masekretari wanacheka Cheka hawana majibu nikaenda kwa msajili wa vyama vya kuweka na kukopa ofisi ziko maeneo ya jamhuri hakunisaidia nifanyaje?
 
Back
Top Bottom