Mkuu wa Mkoa anatoa Wapi Fedha Hizi??

Mkuu wa Mkoa anatoa Wapi Fedha Hizi??

Aiseee huyu jamaa kiukweli anaacha maswali Mengi kuliko majibu!
 
Katika hali ya kushangaza na hakuna mwenye anahoji.
1. Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
2. Anagawa magari yale ya hadhi na sio IST wakati kuna zahanati hazina ambulance.
3. Huyu bwana mdogo anafanya kufuru isiyo ya kawaida. Hakuna mtu akasimama kuhoji chanzo cha hizi fedha.
Bwana CAG sijui kama anaona huu upoyoyo. Sijui kama huyu bwana anafanya biashara nje ya kazi yake ya mkuu wa mkoa. Sijui huyu bwana anafadhiliwa na watu gani huyu.
Hakuna hata mbunge amepata ujasiri wa kuhoji haya mambo. Labda sisi wananchi ndo hatuna uelewa na ofisi ya mkuu wa mkoa.
Maswali ni mengi majibu hakuna.
Sasa wadau wenye ujuzi tuambieni ofisi ya mkuu wa mkoa inavyanzo gani vya fedha za kuweza kugawa hovyo kiwango hiki. Ikumbukwe sina ugomvi na wanaozipokea.
Piga kazi wewe acha wivu wa kike!
 
Tofauti na ukuu wa mkoa job nyingine aliyo nayo ani kibanda cha tigo pesa nyuma
 
Ni wivu tu.
Yaani tumuonee wivu Makonda?
IMG_20190531_213318.jpg
 
Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
Acha nongwa
Makonda amejenga vyumba vya madarasa 425 hujahoji
Makonda ameleta makontena.zaido ya 20 kwa ajili ya wanafunzi na walimu,yalipotaifishwa ulishangilia
Anachofanya Makonda hata wewe unakiweza ukiwa RC,nenda tu kwa Mo muombe hela kwa masharti.ya kuwapa wachezaji wake uone kama atakataa
 
Pesa ya kuuza unga hiyo

Uyo jamaa ana ushirika na mfamasia flani kule Afrika kusini

Sidhani kama makonda ataweza kui-maintain hiyo lifestyle ya kugawa fedha kila mwaka..lazma itafika mahali atafulia tu

Au ndo kafara zake za kichawi anazotoa, maana huenda ukipokea hela yake, anachukua nyota yako (anakuwekea mikosi) Prince Kunta
 
Kuwa mkuu wa mkoa wa dar lazima uwe na mahoka, huwezi ongoza dar kama unaongoza mikoa ya mazao ya chakula na biashara.
Dar ina swaga zake men.
Hey, Call me J.
 
Katika hali ya kushangaza na hakuna mwenye anahoji.
1. Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
2. Anagawa magari yale ya hadhi na sio IST wakati kuna zahanati hazina ambulance.
3. Huyu bwana mdogo anafanya kufuru isiyo ya kawaida. Hakuna mtu akasimama kuhoji chanzo cha hizi fedha.
Bwana CAG sijui kama anaona huu upoyoyo. Sijui kama huyu bwana anafanya biashara nje ya kazi yake ya mkuu wa mkoa. Sijui huyu bwana anafadhiliwa na watu gani huyu.
Hakuna hata mbunge amepata ujasiri wa kuhoji haya mambo. Labda sisi wananchi ndo hatuna uelewa na ofisi ya mkuu wa mkoa.
Maswali ni mengi majibu hakuna.
Sasa wadau wenye ujuzi tuambieni ofisi ya mkuu wa mkoa inavyanzo gani vya fedha za kuweza kugawa hovyo kiwango hiki. Ikumbukwe sina ugomvi na wanaozipokea.
Kama wewe ni Mkenya kusema ''Mwenye anahoji''. Badala ya ''anayehoji'' sikushangai ila sio kiswahili sahihi.

Lakini kama ni Mtanzania nitakuelewa kuwa una Uchuro.
 
Acha nongwa
Makonda amejenga vyumba vya madarasa 425 hujahoji
Makonda ameleta makontena.zaido ya 20 kwa ajili ya wanafunzi na walimu,yalipotaifishwa ulishangilia
Anachofanya Makonda hata wewe unakiweza ukiwa RC,nenda tu kwa Mo muombe hela kwa masharti.ya kuwapa wachezaji wake uone kama atakataa
Kajifunze logic mkuu. Hata angemjengea kila mwana dsm gorofa haina mana utumie mali ya umma kwa maslai binafsi. Ni wachache sana mnaofikiri mapato ya mkoa wa Dar ni ya mkuu wa mkoa.
 
Katika hali ya kushangaza na hakuna mwenye anahoji.
1. Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
2. Anagawa magari yale ya hadhi na sio IST wakati kuna zahanati hazina ambulance.
3. Huyu bwana mdogo anafanya kufuru isiyo ya kawaida. Hakuna mtu akasimama kuhoji chanzo cha hizi fedha.
Bwana CAG sijui kama anaona huu upoyoyo. Sijui kama huyu bwana anafanya biashara nje ya kazi yake ya mkuu wa mkoa. Sijui huyu bwana anafadhiliwa na watu gani huyu.
Hakuna hata mbunge amepata ujasiri wa kuhoji haya mambo. Labda sisi wananchi ndo hatuna uelewa na ofisi ya mkuu wa mkoa.
Maswali ni mengi majibu hakuna.
Sasa wadau wenye ujuzi tuambieni ofisi ya mkuu wa mkoa inavyanzo gani vya fedha za kuweza kugawa hovyo kiwango hiki. Ikumbukwe sina ugomvi na wanaozipokea.


Alitoa pia msaada wa milioni 500 taslimu kwa Bakwata.Kwa kweli ana nyota ya pesa
 
Back
Top Bottom