Piga kazi wewe acha wivu wa kike!Katika hali ya kushangaza na hakuna mwenye anahoji.
1. Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
2. Anagawa magari yale ya hadhi na sio IST wakati kuna zahanati hazina ambulance.
3. Huyu bwana mdogo anafanya kufuru isiyo ya kawaida. Hakuna mtu akasimama kuhoji chanzo cha hizi fedha.
Bwana CAG sijui kama anaona huu upoyoyo. Sijui kama huyu bwana anafanya biashara nje ya kazi yake ya mkuu wa mkoa. Sijui huyu bwana anafadhiliwa na watu gani huyu.
Hakuna hata mbunge amepata ujasiri wa kuhoji haya mambo. Labda sisi wananchi ndo hatuna uelewa na ofisi ya mkuu wa mkoa.
Maswali ni mengi majibu hakuna.
Sasa wadau wenye ujuzi tuambieni ofisi ya mkuu wa mkoa inavyanzo gani vya fedha za kuweza kugawa hovyo kiwango hiki. Ikumbukwe sina ugomvi na wanaozipokea.
Ni wivu tu.Aiseee huyu jamaa kiukweli anaacha maswali Mengi kuliko majibu!
Kwa jibu hili , Guzman atakuwa amelog off kabisa kama sio kuzima simuUmejitahidi kujibu vizuri. Rudi soma tena. Nimeuliza ofisi ya mkuj wa mkoa sio huyu mwanaume wako
DuhYaani tumuonee wivu Makonda?
View attachment 1116699
Acha nongwaHuyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
Yaani tumuonee wivu Makonda?
View attachment 1116699
Kwa hiyo mapato ya jiji la dar ni mali ya Makonda?Ina maana hujui vyanzo vya mapato vya jiji la Dar, au unajisahaulisha.
Pesa ya kuuza unga hiyo
Uyo jamaa ana ushirika na mfamasia flani kule Afrika kusini
Huyu golikipa anatazama wapi? atakua bahariaYaani tumuonee wivu Makonda?
View attachment 1116699
Aiseee huyu jamaa kiukweli anaacha maswali Mengi kuliko majibu!
Kama wewe ni Mkenya kusema ''Mwenye anahoji''. Badala ya ''anayehoji'' sikushangai ila sio kiswahili sahihi.Katika hali ya kushangaza na hakuna mwenye anahoji.
1. Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
2. Anagawa magari yale ya hadhi na sio IST wakati kuna zahanati hazina ambulance.
3. Huyu bwana mdogo anafanya kufuru isiyo ya kawaida. Hakuna mtu akasimama kuhoji chanzo cha hizi fedha.
Bwana CAG sijui kama anaona huu upoyoyo. Sijui kama huyu bwana anafanya biashara nje ya kazi yake ya mkuu wa mkoa. Sijui huyu bwana anafadhiliwa na watu gani huyu.
Hakuna hata mbunge amepata ujasiri wa kuhoji haya mambo. Labda sisi wananchi ndo hatuna uelewa na ofisi ya mkuu wa mkoa.
Maswali ni mengi majibu hakuna.
Sasa wadau wenye ujuzi tuambieni ofisi ya mkuu wa mkoa inavyanzo gani vya fedha za kuweza kugawa hovyo kiwango hiki. Ikumbukwe sina ugomvi na wanaozipokea.
Yaani tumuonee wivu Makonda?
View attachment 1116699
Kajifunze logic mkuu. Hata angemjengea kila mwana dsm gorofa haina mana utumie mali ya umma kwa maslai binafsi. Ni wachache sana mnaofikiri mapato ya mkoa wa Dar ni ya mkuu wa mkoa.Acha nongwa
Makonda amejenga vyumba vya madarasa 425 hujahoji
Makonda ameleta makontena.zaido ya 20 kwa ajili ya wanafunzi na walimu,yalipotaifishwa ulishangilia
Anachofanya Makonda hata wewe unakiweza ukiwa RC,nenda tu kwa Mo muombe hela kwa masharti.ya kuwapa wachezaji wake uone kama atakataa
Katika hali ya kushangaza na hakuna mwenye anahoji.
1. Huyu bwana anagawa hela kama nzugu wakati shule zetu hazina hata vitabu
2. Anagawa magari yale ya hadhi na sio IST wakati kuna zahanati hazina ambulance.
3. Huyu bwana mdogo anafanya kufuru isiyo ya kawaida. Hakuna mtu akasimama kuhoji chanzo cha hizi fedha.
Bwana CAG sijui kama anaona huu upoyoyo. Sijui kama huyu bwana anafanya biashara nje ya kazi yake ya mkuu wa mkoa. Sijui huyu bwana anafadhiliwa na watu gani huyu.
Hakuna hata mbunge amepata ujasiri wa kuhoji haya mambo. Labda sisi wananchi ndo hatuna uelewa na ofisi ya mkuu wa mkoa.
Maswali ni mengi majibu hakuna.
Sasa wadau wenye ujuzi tuambieni ofisi ya mkuu wa mkoa inavyanzo gani vya fedha za kuweza kugawa hovyo kiwango hiki. Ikumbukwe sina ugomvi na wanaozipokea.