Comrade
Saint Ivuga
Sote tunahitaji kumaliza hili tatizo
Tupatie ufumbuzi kwa namna unavyoona inafaa zaidi
Kiongozi wangu. Heshima yako.
Ili kupata solution ya tatizo lolote lazima speculation na ili utatue tatizo lazima ufahamu kuwa ni tatizo gani?
Mara zote vita na mauaji hutokea baada ya uonevu au ubabe.
Na ili vita iishe au ugomvi uishe ni lazima mmoja wapo awe mjinga akubali yaishe.
Naendelea ku type......
Issue ya kibiti ina picha mbili..
Kwanza kuna mashehe wale waliokamatwa..
Wale wasipoachiwa basi mauaji yataendelea bila kukoma.
Wale mashehe waulizwe wanataka nini na waachiwe bila pingamizi lolote.
Kundi lingine ni hawa jamaa ambao wapo kwenye system.
Namaanisha wajeda..
Hakuna wasiwasi kabisa kuwa hii vita inafanywa na trained people.
Imagine mtu mmoja anawalaza askari polisi saba tena wamejikoki wapo kwenye doria?
Huyu sio mtanzania wa kawaida ni mtu mwenye mafunzo ya hali ya juu sana.
Here we approaching the wrong groups,
Wazee wetu waislamu wa kibiti wanakamatwa, wanapigwa wanateswa.
Imagine shehe anatoa wapi mafunzo ya kutumia sniper?
Watu wanadunguliwa kwa sniper..
Data ambazo ninazo kutoka kabisa jikoni ni kuwa hawa jamaa wapo kwenye system wanajuana.
Jeshi la tanzania na ujanja wake wote washindwe kuwadhibuti magaidi wa kitanzania? Tangu lini?
Hapo ni jeshi against government.
Wamalizane wenyewe kiustarabu. Wasimuumize rais kichwa.
Magufuli ana kazi nyingi sana.
Hapo inatakiwa weledi wa mkuu wa majshi amalizane na vijana wake kwa maongezi.
Akitumia nguvu atawashinda lakini itamchukua muda sana na damu nyingi sana zitakuwa zimeshapotea.
Huu ni mtazamo wa
Saint Ivuga na sio mtizamo wa [HASHTAG]#jamiiforums[/HASHTAG].