wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,570
Hakuna swali lolote,Kuna story tu pale.Jibu swali!!!!
Hakuna swali lolote,Kuna story tu pale.Jibu swali!!!!
Sema umeshindwa kujibu mkuu.Hakuna swali lolote,Kuna story tu pale.
Kujibu Nini?Sema umeshindwa kujibu mkuu.
Tuelezee kidogo kiongozi sisi wananchi
Nafikiri walikwapuana dhahabu wanazo no kwiba huko DRC, maana wote inasemekana wana kwapua dhahabu ya DRC ....Chanzo ni tuhuma za Kagame kuipeleleza Uganda.