opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Huyu mkuu mpya aliyehamishwa Kahororo kutoka shule ya sekondari Bukoba ni kikwazo cha maendeleo ya taaluma.Ameondolewa Bukoba sec baada ya matokeo mabovu ya form iv kwani mwaka 2010 kulikuwa na ziro 95.Vilevile akiwa Kahororo sekondari ameishusha shule kutoka ya 2 mpaka ya 14 kati ya shule 18 matokeo ya form vi mwaka 2012.Amekuwa akiungana na wanafunzi kudharirisha walimu.