"mme wa sakaya" jamani mbavu zangu......Shule ndiyo nini Tanzania? Lipumba si profesa ? Shule ndivyo anavyofanya kazi? Kitila ni profesa lakini kahama vyama vitatu anapoongea hata profesa maji marefu ana nafuu, wapo waliosoma akina Chenge, werema, Tibaijuka nk hata mwakyembe ana phd lakini alinunua mabehewa feki, shule ndiyo kulala ofisni na mke wa mtu? Wewe lazima utakuwa mme wa sakaya.
kweli umeniamlia leo. basi umeshinda.