Mkutano wa Ukawa Mtwara mabomu yalindima

Mkutano wa Ukawa Mtwara mabomu yalindima

Dupe

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
1,668
Reaction score
813
Mkutano wa Ukawa manispaa ya mtwara mabomu yamepigwa kutokana na vurugu zilizoibuka katika katika mkutano huo, chanzo cha vurugu hizo ni kugombeana jimbo kati ya wagombea wa ubunge kwa kiti cha CUF na NCCR hali iliyosababisha mkutano huo kuvurugika na kuingiwa na sinto fahamu.

Mgombea mmoja kupitia NCCR anashikiliwa na police mpaka sasa kutokana na kuanzisha vurugu hizo.

Mkutano huo uliudhuliwa na viongozi wa mkoa na wilaya ya Mtwara huku wakifanya maandalizi ya kumpokea mgombea kiti cha uraisi Mh Lowasa na ukiudhuliwa na wasaniii mbalimbali kama Vincent Kigosi (Ray) na wengine wengi.
 
Huu mlipuko utasababisha chain-reaction nchi nzima na ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wa UKAWA..."Pipoooooz Pawaaaa" inaelekea kuwa "Popooooo, Bawaaaaaa"
 
Huyu jamaa wa nssr analazimisha mambo, wala hana mvuto
 
Ewe mpiga kura tafakari kabla ya kupiga kura. Jiepushe na ushabiki mkumbo.
 
Sijui tuwashtueje hawa watanzania wa UKAWA washtuke toka kwa malaghai hawaaa.

Sad.
 
Jaman mbona mapema hovyo. Mkichukua nchi si mtagombania vyeo vyote na maendeleo hayatapatikana.
hawa watakuwa wamecopy na kupaste mambo ya job ndugai.ndo maana watu wenye akili zetu tunaona ccm ndo tatizo namba moja la nchi hii
 
Ahsante kwa taarifa. Kilichotokea ni kwamba huyo mgombea kupitia NCCR hajakubaliana na maamuzi ya ukawa. Mwenzake wa Chadema ameshakubali. Hivyo, leo huyu wa NCCR na kundi lake dogo walitaka kuleta fujo wakadhibitiwa na mapolisi.

Huyu, Mr. Uledi alisaliti pia maamuzi ya kuachiana mitaa kipindi cha uchaguzi. Hivyo, kuna kitu hapa.
 
Ahsante kwa taarifa. Kilichotokea ni kwamba huyo mgombea kupitia NCCR hajakubaliana na maamuzi ya ukawa. Mwenzake wa Chadema ameshakubali. Hivyo, leo huyu wa NCCR na kundi lake dogo walitaka kuleta fujo wakadhibitiwa na mapolisi.

Huyu, Mr. Uledi alisaliti pia maamuzi ya kuachiana mitaa kipindi cha uchaguzi. Hivyo, kuna kitu hapa.
anyanganywe kadi
 
Ahsante kwa taarifa. Kilichotokea ni kwamba huyo mgombea kupitia NCCR hajakubaliana na maamuzi ya ukawa. Mwenzake wa Chadema ameshakubali. Hivyo, leo huyu wa NCCR na kundi lake dogo walitaka kuleta fujo wakadhibitiwa na mapolisi.

Huyu, Mr. Uledi alisaliti pia maamuzi ya kuachiana mitaa kipindi cha uchaguzi. Hivyo, kuna kitu hapa.

Ccm hao ndio wanataka nchi iingie kwenye machafuko coz zuzu wao amekuwa akiubili nchi itaingia kwenye machafuko kama libya huyu ndie mpumbavu namba moja
 
Nipo bize nikitafakari mafuriko ya leo ndani ya Nzega,Igunga,Bukene na Sikonge.Kwa kweli Mh Lowassa ni shida kwa sababu mpaka sasa hivi ameifumua Tabora na kuisuka upya.Huyu jamaa ana kibali kutoka kwa Mungu na anayebisha ajiandae KUHUKUMIWA NA HISTORIA.
 
Hao walioanzisha fujo mtwara waseme tu CCM imewalipa sh ngapi....UKAWA ni hadi ikulu
 
Back
Top Bottom