Mkutano wa Lowassa wadoda ile mbaya

Mkutano wa Lowassa wadoda ile mbaya

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
810872765.JPG
 
Umesamehewa bure. Biblia inasema samehe sba mara sabini. Sisi tunajua hujielewi kwa hiyo hata ukirudia tutakusamehe tu.
 
CCM mnaendelea kujifariji, wenzenu upinzani wanawatafuna kimya kimya...
 
We ulitakaje?! We ni liccm afu unaombea mafuriko ya ukawa.
 
Sikatai kwamba umedoda ivi huo mkutano illikuwa ni wapi? maana naona
kama ni kikao cha famili ivi
 
aibu juu yako ila umejibiwa vizuri,mkutano wa leo haijawahi kutokea arusha kamfunika makofuli mara 90
 
Ubunifu mzuri mr kidevu.kwa vyovyote propaganda hizi ulisomea north korea.hata hivyo wa tz wameshastuka na rais wao ni lowasa october hii.ukawa oyee!!
 
Hii tabia ya kupiga picha jukwaa pekee na kutudanganya mkutano umedoda kamdanganye mkeo ila kama unae nitashangaa sana!
 
Kweli leo ninenyoosha mikono juu kw ukawa. Ccm wajiandae kuwa chama cha uponzani huyu lowasa ni story nyingine sijaamini watu km mchanga
 
Back
Top Bottom