M45
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 1,461
- 2,320
*MKUTANO WA LOWASSA ARUSHA MJINI OKTOBA 8, 2015
Mkutano wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na wanaUKAWA wenza, Mh Edward Lowassa Utafanyika SIku ya Alhamisi Tarehe 8, Mwezi Oktoba Mwaka 2015 Katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Sinoni, Kata ya Sinoni! Uwanja ni mkubwa wa kutosha na tumeamua tufanyie hapo kujihami na madhara kama yaliyojitokeza Tangamano, Tanga..
Tunatamani tumalize shughuli hii ya kampeni na uchaguzi, na kisha kukabidhiwa dola kwa amani na usalama bila mtu yeyote kujeruhiwa. Tushirikiane kuhakikisha hakuna mmoja wetu atakaye dhurika.
Imeshindikana kufanya mkutano kesho kama ilivyokusudiwa awali kwasababu leo wenzetu wa CCM walikuwa na mkutano wao na hivyo kukawa na muingiliano wa gari zetu za matangazo kuutangaza maeneo yote ya Jimbo la Arusha Mjini. Kuna baadhi ya watu binafsi walilazimishwa na wanausalama kutoa bendera za chama chetu kwenye magari yao (japo sio misingi sahihi ya demokrasia). Hatukuona sababu ya kulazimisha kuvutana wakati tunafahamu Ushindi tunao.
Pia imetokana na uhitaji wa watanzania wengi na hasa walio nje na Arusha kushuhudia Mkutano huu kupitia matangazo ya moja kwa moja ya televisheni. Tunaendelea na mchakato huo na utakapokuwa tayari tujafahamishana kupitia magari ya matangazo na kwenye mitandao hii ya kijamii.
Sambaza taarifa hii kwa wadau wengine.
Asante!
Mkutano wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na wanaUKAWA wenza, Mh Edward Lowassa Utafanyika SIku ya Alhamisi Tarehe 8, Mwezi Oktoba Mwaka 2015 Katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Sinoni, Kata ya Sinoni! Uwanja ni mkubwa wa kutosha na tumeamua tufanyie hapo kujihami na madhara kama yaliyojitokeza Tangamano, Tanga..
Tunatamani tumalize shughuli hii ya kampeni na uchaguzi, na kisha kukabidhiwa dola kwa amani na usalama bila mtu yeyote kujeruhiwa. Tushirikiane kuhakikisha hakuna mmoja wetu atakaye dhurika.
Imeshindikana kufanya mkutano kesho kama ilivyokusudiwa awali kwasababu leo wenzetu wa CCM walikuwa na mkutano wao na hivyo kukawa na muingiliano wa gari zetu za matangazo kuutangaza maeneo yote ya Jimbo la Arusha Mjini. Kuna baadhi ya watu binafsi walilazimishwa na wanausalama kutoa bendera za chama chetu kwenye magari yao (japo sio misingi sahihi ya demokrasia). Hatukuona sababu ya kulazimisha kuvutana wakati tunafahamu Ushindi tunao.
Pia imetokana na uhitaji wa watanzania wengi na hasa walio nje na Arusha kushuhudia Mkutano huu kupitia matangazo ya moja kwa moja ya televisheni. Tunaendelea na mchakato huo na utakapokuwa tayari tujafahamishana kupitia magari ya matangazo na kwenye mitandao hii ya kijamii.
Sambaza taarifa hii kwa wadau wengine.
Asante!