Mkutano wa Kimataifa wa Madini: Waziri mwenyeji Biteko anaongea Kiswahili bila mkalimani!

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Ninafikiri tuwe makini zaidi pale tunapopeleka ujumbe kwenye mikutano ya Kimataifa.

Nimeona Waziri wa madini Mh. Biteko akihutubia kwa Kiswahili jamii ya Kimataifa. Anapigiwa makofi na Waswahili wenzake huku washiriki wa nje wakiwa kimya.

Yule wa Uganda ambaye ni mwanamama amegonga english safi, amepigiwa makofi na ukumbi mzima ikiwemo wale wadau toka Ulaya.

Ninafikiri ni vyema tukajitafakari zaidi ni wapi tutumie lugha ipi ili ujumbe ufike kwa wote bila chenga.
 
Hemu punguza kwanza haraka uandike vizuri, halafu hujui kwamba kwenye mikutano ya kimataifa wanavaa vifaa maalumu vinavyotafasiri lugha kila mtu na yake.
vile vifaa havitafsiri automatically.....kunakuwaga na wakalimani chemba, mtoa nada keshasema hakukuwa na wakalimani wa kiswashili kwenda lugha zingine.
 
Ninafikiri tuwe makini zaidi pale tunapopeleka ujumbe kwenye mikutano ya Kimataifa.
Nimeona Waziri wa madini Mh. Biteko akihutubia kwa Kiswahili jamii ya Kimataifa. Anapigiwa makofi na Waswahili wenzake huku washiriki wa nje wakiwa kimya.
Yule wa Uganda amepigiwa makofi na ukumbi mzima ikiwemo wale wadau toka Ulaya.
Ninafikiri ni vyema tukajitafakari zaidi ni wapi tutumie lugha ipi ili ujumbe ufike kwa wote bila chenga.
Ili mumcheke kama Ndalichako !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa halijuwi hilo, na kwa taarifa yake tu theluthi ya mataifa ya Africa mashariki na kati wanakijuwa kiswahili kuliko hata mtoa maada.
Hemu punguza kwanza haraka uandike vizuri, halafu hujui kwamba kwenye mikutano ya kimataifa wanavaa vifaa maalumu vinavyotafasiri lugha kila mtu na yake.
a mataifa ya Africa masharki na kati wanajuwa kiswahili.
 
Atakuwa halijuwi hilo, na kwa taarifa yake tu theluthi ya mataifa ya Africa mashariki na kati wanakijuwa kiswahili kuliko hata mtoa maada.

a mataifa ya Africa masharki na kati wanajuwa kiswahili.
Mkuu,soma mada vizuri.
 
Ninafikiri tuwe makini zaidi pale tunapopeleka ujumbe kwenye mikutano ya Kimataifa.

Nimeona Waziri wa madini Mh. Biteko akihutubia kwa Kiswahili jamii ya Kimataifa. Anapigiwa makofi na Waswahili wenzake huku washiriki wa nje wakiwa kimya.

Yule wa Uganda amepigiwa makofi na ukumbi mzima ikiwemo wale wadau toka Ulaya.

Ninafikiri ni vyema tukajitafakari zaidi ni wapi tutumie lugha ipi ili ujumbe ufike kwa wote bila chenga.
Hahahaha anatekeleza maagizo kutoka juu
 
Back
Top Bottom