CHADEMA yafanya mkutano mkubwa jijini Mwanza tar 22/04/12 uliohudhuriwa na mamia ya watu! Mh. Dr.Wilbroad Slaa akiambatana na Mh.Lema walihutubia wananchi kwa umahili na umakini mkubwa pia kwa kupokea wanachama wapya walio achia Udiwani katika kata mbalimbali ikiwemo ya Sengerema