mkutano wa edward lowasa wadoda karatu.

mkutano wa edward lowasa wadoda karatu.

Alienda tanga...akafika wilaya ya lushoto huko pembezoni panaitwa soni na sio lushoto mjini..watu wa lushoto mjini wakahoji kwa nn anaishia soni..wakajibiwa eti atarudi tarehe 10/10/2015.....sasa ni mikutano takribani 3jamaa anawatia ndimu watu...kuna shida gani jamani tuambiwe
Mlishaambiwa amkajidai hamuelewi
 
Mkutano umeshindikana kutokana mgombea kushindwa kuwasili uwanjani.watu wameanza kuondoka kwa hasira.

Hebu soma heading ujione ulivyo punguani.Mnashusha sana hadhi ya jf kwa kuifanya sawa na màgazeti ya udaku
 
Back
Top Bottom