mkutano wa edward lowasa wadoda karatu.

mkutano wa edward lowasa wadoda karatu.

UGORO87

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
824
Reaction score
383
Mkutano umeshindikana kutokana mgombea kushindwa kuwasili uwanjani.watu wameanza kuondoka kwa hasira.
 
Ni kweli tupo hapa uwanjani ndio tunamsubiri lakini taarifa ni kwamba atakuja tarehe 09, naona technically ni nzuri kwa sababu Magufuli atakuja hapa tarehe 08.... Watu wameondoka kwa amani, wenye hasira ni wachache sana.
 
sina uhakika kama lowasa leo alikuwa na ratiba karatu. nimesikia atakuwa babati...
 
Ni kweli tupo hapa uwanjani ndio tunamsubiri lakini taarifa ni kwamba atakuja tarehe 09, naona technically ni nzuri kwa sababu Magufuli atakuja hapa tarehe 08.... Watu wameondoka kwa amani, wenye hasira ni wachache sana.

taarifa zisizo rasmi insonyesha leo jioni yuko babati...
 
Pia ratiba ya leo haikuonesha karatu.
 
Ni kweli tupo hapa uwanjani ndio tunamsubiri lakini taarifa ni kwamba atakuja tarehe 09, naona technically ni nzuri kwa sababu Magufuli atakuja hapa tarehe 08.... Watu wameondoka kwa amani, wenye hasira ni wachache sana.

Kwa maoni yangu hata kama atakuja tar 9 ingependeza na leo angetumia hata dk chache kwa sababu watu walishafika kwa ajili yake!
 
Ccm mtaacha lini kuangaika na lowasa leo karatu akafanye nini ratiba ya karatu bado
 
Ccm mtaacha lini kuangaika na lowasa leo karatu akafanye nini ratiba ya karatu bado

Ukawa Mbona Unataka Kututupia Lawama Sisi,hivi Hao Wenzenu Waliokuwa Wanamsubiri Ni Wajinga?Inamaana Wote Hao Walidanganywa?Inamaana Mpaka Viongozi Wa Karatu Wa Ukawa Wanasimamia Maandalizi Ya Jukwaa Na Vitu Kama Hivo Walidanganywa Ratiba??Acheni Kutukejeli Na Kutushutumu Kwa Kila Kitu Wakati Vitu Vipo Clear Kabisa....!!!
 
hii imekaaje wamewahidi watu atakuja tar 9 cdhani maana ratiba ya jimbo mara mbili cjui km itawezekana.
 
Back
Top Bottom