Mkutano wa dr ndugulile kibada., nilichojifunza.

Mkutano wa dr ndugulile kibada., nilichojifunza.

mwita ke mwita

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2010
Posts
8,058
Reaction score
3,755
Leo kuna mkutano wa mbunge wa kigamboni na wana nchi wa kibada jamaa anazungumzia masuala mengi nilichojifunza.
1. Hakukuwa na nyimbo za komba na ccm hazikuwa zikipigwa tofauti na wabunge wengine wa ccm
2. Watu hawajasombwa na magari, kupewa posho wala mabaloz kugongea watu..
3. Mbunge huyu hakuwa na mavaz ya ccm na wala kulikuwa hakuna sare za ma ccm.
4. Mbunge anajadili masuala ya wananchi na si u ccm.
Wabunge wengine igeni
 
Kaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!

Mbunge kuongea na watu wake si jambo la kupongezwa. Hiyo ni kazi yake ya kawaida tu.

Sema kama kafanya la zaidi linalostahili kupongezwa.

What's next? Tuanze kupongeza wabunge kwa sababu wanapumua au kuhudhuria vikao vya bunge?
 
Leo kuna mkutano wa mbunge wa kigamboni na wana nchi wa kibada jamaa anazungumzia masuala mengi nilichojifunza.
1. Hakukuwa na nyimbo za komba na ccm hazikuwa zikipigwa tofauti na wabunge wengine wa ccm
2. Watu hawajasombwa na magari, kupewa posho wala mabaloz kugongea watu..
3. Mbunge huyu hakuwa na mavaz ya ccm na wala kulikuwa hakuna sare za ma ccm.
4. Mbunge anajadili masuala ya wananchi na si u ccm.
Wabunge wengine igeni

katika kikao ndo kasemaje hasa juu ya chama chake kuamua kuilebo kigambon kuwa inauzwa
 
Shame on hk
kwani lazima ku comment?
Juzi nilipomuona akimpongeza prof. Muhongo kwa kumshambulia Mnyika just for that nilimdiscredit sana JAPO nilishakuwa na soma post zake nyingine. Kwa hili Ndungulile is above party politics kwa wananchi wa kigamboni tangu mradi unaanza. Ule mradi unausikia bungeni kwa ufasishi kweli LAKINI kwa wananchi bla bla nyingi. Big up Faustine!
 
CHADEMA imeharibu kabisa mahudhurio ya Bunge. Kila.mbunge wa CCM ana hofu kubwa anaposikia hawa jamaa wako jimboni mwake. Halafu sasa wanashanbulia kila sehem. Jamani CDM punguzeni presha mwisho Bunge litashindikana kuliendeshau
 
Kaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!
HK is a disgrace mchumia tumbo na mpenda sifa .Hivi huyu wa Kigamboni ni PhD au ndiyo aina yao HK kujiita ma Dr.We only recognize wenye PhD kwa title ya Dr.
 
Inatia faraja kusikia mkutano wa wananchi sio wa chama.
Maana CCM wanashindwa kutofautisha mikutano ya kuongea na wananchi na ile ya kichama. Utakuta eti mkutano wa kujadili maendeleo ya wananchi halafu kijani zimejaa kibao, nyimbo za ccm n.k.. Utadhani huwa wanaongoza wanaCCM Pekee.
Safi Mh. wafundishe na wenzio namna ya mavazi ya kuongea katika mikutano ya maendeleo na wananchi sio wanachama.
 
Kaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!

Akili ya vitumbua hii, mbunge apongezwe kwa kutekeleza wajibu wake?
Labda ungesema amewafumbua macho wabunge wanaowasilisha mawazo ya wake zao na kuyafanya ni mawazo ya wananchi wapiga kura wa majimbo yao!
 
HK is a disgrace mchumia tumbo na mpenda sifa .Hivi huyu wa Kigamboni ni PhD au ndiyo aina yao HK kujiita ma Dr.We only recognize wenye PhD kwa title ya Dr.

Kuna watu hawana hoja za maana, na kwa maana hiyo hawana maana ya kutumika kwenye jambo lolote lile la maana...sitaki kuamini na huyu anayepinga wenye Doctor of Medicine Degree wasiwe Ma-Dr kama hana maana. Ninashawishika kuamini ni mtu wa maana anayejaribu tu kupotosha maana...
 
Inatia faraja kusikia mkutano wa wananchi sio wa chama.
Maana CCM wanashindwa kutofautisha mikutano ya kuongea na wananchi na ile ya kichama. Utakuta eti mkutano wa kujadili maendeleo ya wananchi halafu kijani zimejaa kibao, nyimbo za ccm n.k.. Utadhani huwa wanaongoza wanaCCM Pekee.
Safi Mh. wafundishe na wenzio namna ya mavazi ya kuongea katika mikutano ya maendeleo na wananchi sio wanachama.
Hata vyama vingine navyo hufanya hivyo...japokuwa si sahihi lakini ni kitendo kinachoonesha kuwa wewe ni mtu wa chama gani na una uzalendo wa sana kwa chama chako...
 
Kaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!
kumpongeza mbunge kuzungumza na wananchi wake wakati anawajibu huo mi nazani mawazo kama haya ni ya umburula au yenye mlengo wa kiliberali
 
katika kikao ndo kasemaje hasa juu ya chama chake kuamua kuilebo kigambon kuwa inauzwa

Kikubwa kazungumza juu ya wanachi kutokubali kuburuzwa kwani kila mtu ana haki kwenye nchi hii, kwani serikali haijawashirikisha wananchi
 
Inatia faraja kusikia mkutano wa wananchi sio wa chama.
Maana CCM wanashindwa kutofautisha mikutano ya kuongea na wananchi na ile ya kichama. Utakuta eti mkutano wa kujadili maendeleo ya wananchi halafu kijani zimejaa kibao, nyimbo za ccm n.k.. Utadhani huwa wanaongoza wanaCCM Pekee.
Safi Mh. wafundishe na wenzio namna ya mavazi ya kuongea katika mikutano ya maendeleo na wananchi sio wanachama.

Kusema ukweli jamaa kaongea kwa kupangilia hoja tangu mwanzo hadi mwisho
 
Cha kuvutia mwanzo hadi mwisho hajasema ccm oyee! Ni watu wachache ndani ya ccm walioanza kusahau msemo huu. Kigwangala na filikunjombe igeni
 
CHADEMA imeharibu kabisa mahudhurio ya Bunge. Kila.mbunge wa CCM ana hofu kubwa anaposikia hawa jamaa wako jimboni mwake. Halafu sasa wanashanbulia kila sehem. Jamani CDM punguzeni presha mwisho Bunge litashindikana kuliendeshau

Jamaa pia elimu ya uraia juu ya haki na wajibu wa wapiga kura, hasa juu ya mikutano kuwa ukitaka kufanya mkutano hutakiwi kuomba kibali bali kutoa taarifa polisi masaa 48 kabla. Hata wananchi wanaweza kuitisha mikutano yao na kujadili
 
Kaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!

Inabidi uigé kutoka kwake kwan mikutano yenu huwa mnaigeuza fiesta kwa kujaza wasanii na kutupigia kelele na minyimbo ya komba, mwenzako kaja simple anazungumza kile cha wananchi. Mwanzoni ulianzaga vizuri kwa kupinga uonevu kwenye ule mgodi wa dhahabu, baada ya skendo ya vitumbua na bastola hujarudi kwenye form.
 
Kusema ukweli jamaa kaongea kwa kupangilia hoja tangu mwanzo hadi mwisho
Natamani nijue kazungumzia nini hasa . Mkuu hebu tupiamo kidogo alichozungumza , maana nimekua nafuatilia pengine utaongea alichosema lkn bado sijaona please tujuze
 
Back
Top Bottom