Kama imefikia hatua ya kumpongeza mbunge kwa kuongea na wapiga kura wake basi wanasiasa wa ccm ni mbumbumbu kuliko nilivyokuwa nawachukuliaKaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!
Mi ntaburudika sana kama nikijua agenda na yaliyotokea katika huo Mkutano. Napenda watu ambao wanazungumza kwa kuacha unazi wa chama na kuangalia maslahi ya wananchi, lakini cha kushangaza kuna wabunge ambao wao hata jambo liwe baya linapokuja suala la chama wao wanakubali tu sasa sijui ni kwamba hawaelewe kwamba wao wanaisimamia serikali na sio kujifanya mawaziri wa serikali.Hii Tabia ipo sana kwa wabunge wa Chama Tawala eti siku wanajiita sio chama cha siasa ila Chama Tawala na sio chama kinachoongoza serikali.
Mi ntaburudika sana kama nikijua agenda na yaliyotokea katika huo Mkutano. Napenda watu ambao wanazungumza kwa kuacha unazi wa chama na kuangalia maslahi ya wananchi, lakini cha kushangaza kuna wabunge ambao wao hata jambo liwe baya linapokuja suala la chama wao wanakubali tu sasa sijui ni kwamba hawaelewe kwamba wao wanaisimamia serikali na sio kujifanya mawaziri wa serikali.Hii Tabia ipo sana kwa wabunge wa Chama Tawala eti siku wanajiita sio chama cha siasa ila Chama Tawala na sio chama kinachoongoza serikali.
Kaka yangu Dr. Ndugulile ni mbunge mzuri, amefanya jambo jema kuzungumza na watu wake, apongezwe kwa hilo!