Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,513
- 1,730
Kenge wewe!Slaa aliona Bora kutumikia nchi kuliko kukaa na makengeza mpiga dili
Kenge wewe!Slaa aliona Bora kutumikia nchi kuliko kukaa na makengeza mpiga dili
Hizo 4k mnazolipwa kama posho zinhetumika kuweka daraja la mbao mto Ruiche watoto wale wanne wasingefariki.Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.
Hii Ina maana gani? Nilitegemea sehemu Kama hii kutoa ushirikiano mkubwa kwa chadema lakini imekua kinyume chake kwani imeacha simanzi kwa chama hiki pinzani.
Chadema wanapaswa kujua kuwa kwa sasa wananchi hawapendi kabisa mambo ya kupingana na serikali. Wananchi wanataka maendeleo