Mkutano wa CHADEMA Tunduma Waingia Doa

Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.

Hii Ina maana gani? Nilitegemea sehemu Kama hii kutoa ushirikiano mkubwa kwa chadema lakini imekua kinyume chake kwani imeacha simanzi kwa chama hiki pinzani.

Chadema wanapaswa kujua kuwa kwa sasa wananchi hawapendi kabisa mambo ya kupingana na serikali. Wananchi wanataka maendeleo
Mama karuhusu jini kutoka kwenye chupa. Atapata shida kuidhibiti chadema. Nchi kwa sasa haina muda na siasa za majukwaani. Cdm watakapoona hawana watu lazima wataanzisha visa. Uongo, uzushi, na kutukana.
 
Hawa ndio wanajaribu kutengeneza taswira chafu,fake kwa malengo ya kuwachafua wapinzani na wazalendo wa kweli sio🤔
Wazalendo wa kweli ni slaa na lipumba waliogoma kununuliwana lowasa 2015
 
Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.

Hii Ina maana gani? Nilitegemea sehemu Kama hii kutoa ushirikiano mkubwa kwa chadema lakini imekua kinyume chake kwani imeacha simanzi kwa chama hiki pinzani.

Chadema wanapaswa kujua kuwa kwa sasa wananchi hawapendi kabisa mambo ya kupingana na serikali. Wananchi wanataka maendeleo

Wenzako walishaacha huu ujinga wewe bado unaendelea nao.
 
Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.

Hii Ina maana gani? Nilitegemea sehemu Kama hii kutoa ushirikiano mkubwa kwa chadema lakini imekua kinyume chake kwani imeacha simanzi kwa chama hiki pinzani.

Chadema wanapaswa kujua kuwa kwa sasa wananchi hawapendi kabisa mambo ya kupingana na serikali. Wananchi wanataka maendeleo
Weka video
 
Mama karuhusu jini kutoka kwenye chupa. Atapata shida kuidhibiti chadema. Nchi kwa sasa haina muda na siasa za majukwaani. Cdm watakapoona hawana watu lazima wataanzisha visa. Uongo, uzushi, na kutukana.

Mmebaki na maneno tu, wenzenu wanafanya mikutano nyie mmekalia uongo. Kwa Sasa ni CHADEMA pekee walioweza kufanya mikutano na kujaza watu, wengine walaianza wakaishia njiani.
 
Wewe jamaa Muongo sana hizi propaganda za enzi za mkapa, mm naufutilia Mkutano hapa live Kuna watu kibao
Huyo Woodland, kama siyo mnafiki na mwongo, bila shaka ni mlemavu wa macho. Atakuwa amedanganywa, na kwa vile ana shida ya kuona, ameishia kulibeba neno alilosikia, kama lilivyo.
 
Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.

Hii Ina maana gani? Nilitegemea sehemu Kama hii kutoa ushirikiano mkubwa kwa chadema lakini imekua kinyume chake kwani imeacha simanzi kwa chama hiki pinzani.

Chadema wanapaswa kujua kuwa kwa sasa wananchi hawapendi kabisa mambo ya kupingana na serikali. Wananchi wanataka maendeleo

joni shauri nduguyo huyu away ana achungulia nje, hii awamu 6 ya 5 hatunayo tena:

Kumradhi CHADEMA niliwashauri muahirishe mikutano hadi Tundu Lissu arudi kumbe Moto ni Ule Ule!
 
Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.

Hii Ina maana gani? Nilitegemea sehemu Kama hii kutoa ushirikiano mkubwa kwa chadema lakini imekua kinyume chake kwani imeacha simanzi kwa chama hiki pinzani.

Chadema wanapaswa kujua kuwa kwa sasa wananchi hawapendi kabisa mambo ya kupingana na serikali. Wananchi wanataka maendeleo
Ndugu @Countrywide unahangaikia mno kuidanganywa nafsi yako bure tu bila sababu!!

Acha uongo ndugu. Uongo ni mbaya mno ndugu yangu @Countrywide

Utabadili sana majina na sasa umeanza kujiita eti Woodland
 
23 February 2023
Sumbawanga, Rukwa
Tanzania

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Freeman akiwaaga wananchi wa Sumbawanga baada ya mkutano wa hadhara 23 February 2023

 
24 February 2023
Tunduma, Songwe
Tanzania 🇹🇿

Wananchi wa Tunduma leo tarehe 24 February 2023 wateka mji wakiwa na tabasamu tele na matumaini ya Tanzania mpya



Vifijo, nderemo, miluzi na bashasha vilitawala mjini wote wa Tunduma kuwapokea kwa maadamano yaliyovunja rekodi na baadaye kujazana ktk mkutano wa hadhara kuwasikiliza viongozi wa CHADEMA walioongozwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Freeman Mbowe.
 
Back
Top Bottom