Hahahahaha
Huyu jamaa kituko sana.
Kila siku mikutano tu. Yaani kaunguza ofisi ili apate sababu ya kuitisha mkutano!
Ameitisha mkutano ili achangishe pesa za kuikarabati ofisi aliyoichoma mwenyewe,anategemea chenji itabaki ili aipige,si unajua tena deal yake ya wizi wa magari na tanzanite siku hizi imebuma?Hahahahaha
Huyu jamaa kituko sana.
Kila siku mikutano tu. Yaani kaunguza ofisi ili apate sababu ya kuitisha mkutano!