Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

hoja ya serikali 3 ni ya muda mrefu sana waasisi wake si Chadema kwa mara ya kwanza ilizimwa mwaka 1984
kimsingi Chadema inaunga mkono haya;
1. Serikali 3
2. Rais kupunguziwa madaraka
3. Wabunge kufukuzwa wanaposhindwa kutimiza wajibu wao
 
Lakini Warioba kasema wakusanye kutoka kwa wanachama wao.

Je, hao waliokusanyika hapo ni wanachama wao?

mjomba , zaidi ya nusu ya watanzania ni wanachama wa cdm , umebaki wewe na Hamidu tu , hata hivyo sababu za nyie kubakia huko zinafahamika , tunawatarajia siku za baadaye hasa mkishakamaliza hako ka programu kenu .
 
mkuu inasemekana picha zina sauti nyororo mno kuliko maandishi .
 
Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?
 
Back
Top Bottom