Mkutano wa Chadema M4C-Iringa wasitishwa!

Nzenzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
858
Reaction score
164
Ulipangwa kufanyika leo trh 28 August, 2012 kuanzia mida ya saa 8 mchana katika viwanja vya mwembetogwa. Sababu ni zile zile za kiintelejensia na kupisha zoezi la Sensa linaloendelea sasa!

 
Blessing in disguise ... huu itakuwa ni kudanganya muafaka kuhudhuria mazishi ya kijinga Ally aliyepigwa risasi na polisi
 
Ulipanga kufanyika leo trh 28 August, 2012 kuanzia mida ya saa 8 mchana katika viwanja vya mwembetogwa. Sababu ni zile zile za kiintelejensia na kupisha zoezi la Sensa linaloendelea sasa!
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !
 
Ulipanga kufanyika leo trh 28 August, 2012 kuanzia mida ya saa 8 mchana katika viwanja vya mwembetogwa. Sababu ni zile zile za kiintelejensia na kupisha zoezi la Sensa linaloendelea sasa!

Good decision
 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !

unavyosema hivyo huyo ally kawawa na police ama cdm? Acha unafiki
 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !
nawe unadhani hao polisi hawana uchu wa kupata 'vya bure' na ndio kisa cha kufanya hayo yote!?
Hii ni kwa sababu:
- Chama dhaifu huzaa serikali dhaifu
- serikali dhaifu huzaa taasisi dhaifu (Police inclusive)
- Taasisi dhaifu nazo huzaa matokeo dhaifu (maendeleo)
 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !
Kuna watu wanafikiri hii ni nchi yao peke yao, uoga wa M4C umewafanya washindwe kifikiri kabisa. M4C haitasimama mpaka kieleweke. Cha moto mtakiona.

Habari ndio hii hapa chini. Na inakuja Iringa

 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !

serikali ya kiwete inazidi kuanikwa uchi. atajuta kulazmisha kuwa RAIS
 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !

Wewe ni crazyBrain!

Unataka kutuambia uhuru wa mipaka ni kuzuia maandamano ya CHADEMA lakini maandamano ya CCM ruksa!

Hivi for your tiny and small Brain, unafikiri Watanzania wote ni wapuuzi na wajinga kama wewe? Sahau! Watanzania wanajua wanachokifanya na kwa taarifa yako tu jinsi Policcm wanavyoendelea kuua na kujaribu kuzuia maandamano ya wapinzani hususan CHADEMA ujue tu CCM wanaendelea KUSAFISHA NJIA YA CHADEMA KUINGIA IKULU 2015!

Wewe subiri 2015 utaelewa ninachomaanisha.
 
serikali ya kiwete inazidi kuanikwa uchi. atajuta kulazmisha kuwa RAIS
Nchi imetulia , na mambo yanaenda kama kawaida including kukusanya kodi yako kwa maendeleo ya nchi, tutasimamia sheria na hatoogopwa mtu. Huu ni utawala wa sheria na sio utawala wakimangi wa CDM
 
Ikiwa mkutano umehairishwa kwasababu ya msiba,.. ita "hold water" zaidi lakini kupisha zoezi la sensa..Mhh hapana!!...
Damu ya Ally Zona imemwagika katika mazingira ya harakati za kupigania utu na demokrasia katika ardhi ya MAIGIZO ya Demokrasia na haki...Kitendo cha kuipuuza na kuendelea na operation kitatoa picha ya tofauti juu ya lengo hasa la Operation M4C!!..
Ikiwa CDM watapostpon ziara ya Iringa hata kwa wiki zaidi,..ntaendelea kuwaamini zaidi.Maana ninaujua umuhimu wa kujenga Imani hapa Morogoro miongoni mwa mioyo ya watu hapa,..Kwanza hii ilikua ngome imara ya CCM kwa wakati wote (kabla ya mwezi uliopita)..Wakati Iringa Imeshakombolewa ni sehemu ndogo tu imebakia,.ambayo hata Rev Msigwa na Abwao wanaweza kumalizia,.Tusiwe na haraka huku tukiacha hawa wenzetu tuliotoka kuwakomboa wakiwa njia panda!!..
Makamanda naomba Tubaki hapa Moro,.Tuwape Moyo wa Kusonga mbele na utayari wa kupigania haki hata kwa damu yetu wenyewe...Tuwaondoe woga, wachache wanaonesha hali ya kutaka kukata tamaa,.Tuwashike mkono twende nao!!
 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !
GAMBA linaleta mambo ya kipuuzi... uchu wa madaraka unaonekana kwa kuandamana na kufanya mikutano ya amani?... Polisi waue kwa kuagizwa na CCM na ninyi mtetee!!!!!... Ni muhimu vifo hivi viwaguse wauaji na mashabiki wake ili nao wajue uchungu wa kupoteza ndugu!...
 
watabana mwisho wataachia, sensa ikimalizika watasingizia nn?
 
Ni ndoto za mchana kwa CDM kuingia ikulu sio tu 2015 hata 3000, haipo . Na usidhanie kuingia ikulu ni kwa kile kikaratasi chhako unacho tumbukiza kwenye boksi, ni zaidi ya hapo, sasa utatumia njia gani km hiyo itashindwa? CDM ni sawa na kuku wa kuchora, hadonoi, hali, hawiki na hafai kwa nyama wala mayai
 
CCM ni watu wakufuata sheria na wanajua sheria, ila wenzetu ni watu wakutumia nguvu na kuacha sheria, ndio maana wao hawauliwi kwani hawafanyi fujo. Hakuna maandamano bila kibali, sasa kibali mlikuwa nacho? na mliambiwa msiandamane ila mkalazimisha, huko sio kumwaga damu kwa dhamira za uchu wa madaraka?
 
Hata polisi wasipoingilia kati CDM iko msibani. Iringa M4C inasimama!.... HUU NI MSIBA MKUBWA SAANA KWA CDM!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…