Lema:
Taarifa za muda huu kutoka kwenye Mkuano wa ccm matejo wamehudhuria watu sita tu na umeshindikana kuendelea.
Ndg zangu mimi naiheshimu sana kata ya Elerai, kwasababu ilikuwa kata pili kwakunipa kura nyingi 2010.
Ndg zangu kuna vyama viwili vidogo hapa Arusha, ambavyo ni ccm na cuf. Hivyo vyama ni wanandoa, ila sisemi nani mke na nani mume.
Hivyo vyama vimesimamisha wagombea. Chadema wamesimamisha diwani, ndiyo maana kila wakipita mahali badala ya kutangaza sera wimbo wao ni lema lema lema lema.
Hakuna wanachokizungumza
kuna mabalozi wa nyumba kumi wanavua gamba nitawajulisha zoezi likianza tasmi
balozi aliehamia na watu 20 anaitwa clistopher mollel alikuwa balozi kwa miaka kumi na moja...