PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Sala zenu zinahitajika watanzania
============================== =====
Updates
Mbowe-Tumekubaliana na Katibu Mkuu apumzike kwa muda, kwamba sis tuendelee na atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari.
Mbowe-Chama hiki hatukiendeshi kwa siri, tunakiendesha kwa mikakati.
Mbowe-Tulilazimika kutumia kila mbinu halali ambayo inakiwezesha chama chetu kusaka matumaini na matarajio ya wananchi.
Mbowe-Tuliridhika pasipo shaka kwamba ugeni wa Edward Lowassa katika chama chetu ni mpango wa Mungu.
Mbowe-Umoja wetu ndio ushindi, fursa iliyojitokeza ni nadra.
Mbowe-Mtikisiko huu umekuja kwa CCM kipindi ambacho Watanzania wanamatamanio ya mabadiliko
Mbowe-Hatuwezi kuwa chama cha kuendelea kuhubiri mabaya ya jana tukashindwa kuhubiri maendeleo ya kesho
Mbowe- Kipigo wanachopata CCM, hawajawahi kukipata tangu tuanze siasa za vyama vingi
Mbowe-Kila tunayeweza kumpokea kutoka vyama vilivyo nje ya UKAWA tutamchukua
Mbowe-Mungu ameamua kutumia chama chetu kujeruhi na kuangusha CCM.
Mbowe-CHADEMA ni chama cha siasa, ni chama makini, chama makinI ni chama cha watu, chama kisichokuwa makini ni chama cha viongozi.
============================== =====
Updates
Mbowe-Tumekubaliana na Katibu Mkuu apumzike kwa muda, kwamba sis tuendelee na atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari.
Mbowe-Chama hiki hatukiendeshi kwa siri, tunakiendesha kwa mikakati.
Mbowe-Tulilazimika kutumia kila mbinu halali ambayo inakiwezesha chama chetu kusaka matumaini na matarajio ya wananchi.
Mbowe-Tuliridhika pasipo shaka kwamba ugeni wa Edward Lowassa katika chama chetu ni mpango wa Mungu.
Mbowe-Umoja wetu ndio ushindi, fursa iliyojitokeza ni nadra.
Mbowe-Mtikisiko huu umekuja kwa CCM kipindi ambacho Watanzania wanamatamanio ya mabadiliko
Mbowe-Hatuwezi kuwa chama cha kuendelea kuhubiri mabaya ya jana tukashindwa kuhubiri maendeleo ya kesho
Mbowe- Kipigo wanachopata CCM, hawajawahi kukipata tangu tuanze siasa za vyama vingi
Mbowe-Kila tunayeweza kumpokea kutoka vyama vilivyo nje ya UKAWA tutamchukua
Mbowe-Mungu ameamua kutumia chama chetu kujeruhi na kuangusha CCM.
Mbowe-CHADEMA ni chama cha siasa, ni chama makini, chama makinI ni chama cha watu, chama kisichokuwa makini ni chama cha viongozi.
Attachments
-
11825867_894285133952134_6847320326544335608_n.jpg55.4 KB · Views: 125,085
-
11011569_894285180618796_3135540375877767017_n.jpg9.1 KB · Views: 9,761
-
11822332_894285227285458_674318579078359611_n.jpg59.4 KB · Views: 55,791
-
11822764_386120228247248_7723575338341037588_n.jpg38.5 KB · Views: 8,739
-
11825600_386111984914739_2411113025909127720_n.jpg58 KB · Views: 7,170
-
11825873_386111944914743_8869541588681525067_n.jpg67 KB · Views: 7,020
-
11828718_386111941581410_1907164532637209043_n.jpg63.3 KB · Views: 7,240
Last edited by a moderator: