Mkutano wa ACT Karatu

Mkutano wa ACT Karatu

hapo hakuna kitu!acha kudanganya watu,act ni chama cha -------- tu,wote wapenda madaraka na ndio maana zzk kajipachika cheo cha ajabu,heti MKUU WA CHAMA! hii ina maana gani? watu wanakuja kwenye mikutano ya zitto kisikiliza PUMBA gani ataongea!sio kwamba ni wapenzi wa zitto au chama chake!
 
Nilikuwa napita zangu nikakutana na huu mkusanyiko.
attachment.php

Watu wanafungua ofisi hapo.Ila wamejipanga, vitendea kazi vipo kamili
 
Huyo zitto hana pesa za kuzunguka nchi nzima tunajuwa wazi anafadhiliwa ccm anaendeleza utamaduni wao wa kuhonga watu waje kwenye mkutano ni aibu mbona wenzenu hawahongi lkn watu wanakuja.
 
Nawakijaa wanakuja kumshangaa zitto na usarit wake Kama wa navyoendaga kuishangaa ccm na wanavyokuaga na mafisi
 
Siasa za Wabongo bwana, ni vituko tu! akili robo! Hapo inaonekana kabisa ni kwenye office za chama na jengo lenye rangi ya blue linaonekana kabisa! lakini cha ajabu kuna majuha wameamini kua huo ni mkutano wa chama cha ACT.

Halafu mkutano gani wa muda na wakati kama huo wa jua kali namna hiyo.?! Hata kama hupendi chama flani, penye ukweli sema ukweli sio kuongopa.

Wadau hii ni siasa tu! msijitoe ufahamu na kutumia nguvu nyingi sana kutetea wanasiasa. Usimwamini mwanasiasa yeyote 100%. Mwamini mwanasiasa 05% tu!

Napenda siasa za Zitto, lakini kamwe siwez kumwamini na kuweka imani yangu kwake hata 80%. Mwanasiasa ni mwanasiasa tu! Mi siamini kua kuna mwanasiasa yeyote mwenye uchungu na maendeleo ya wananchi. Wengi wana uchungu na maendeleo yao binafsi! Mwanasiasa wa kibongo siku zote anawafanyia wananchi kitu kidogo sana sana ili kuwatia upofu wananchi waendelee kumuweka madarakani tu.

Leo hii tunaona Mbowe au Lema wanatumia nguvu na pesa zao nyingi na kufokafoka majukwaani mkani wanauchungu na maendeleo ya wananchi wote! hapana! hawa wote wanatafuta ulaji tu! wakishika dola ndo utakua muda muafaka kwao kula raha za duni kama vile kujilimbikizia mali na kuwatumi vimada na kwenda kula raha Dubai.

Magamba ndo bas kabisaaa! wanatunyonya wananchi bila hata huruma. ACT WAZALENDO nao huenda wanajiita wazalendo kitu ambacho sio. Vyama vyote vya siasa makanjanja tu! Kila kukicha wanatokwa mapovu majukwaani ili wapate nafasi ya kinyonya nchi! Hata mie sio mzalendo 100%. Labda 50%.
 
Siasa za Wabongo bwana, ni vituko tu! akili robo! Hapo inaonekana kabisa ni kwenye office za chama na jengo lenye rangi ya blue linaonekana kabisa! lakini cha ajabu kuna majuha wameamini kua huo ni mkutano wa chama cha ACT.

Halafu mkutano gani wa muda na wakati kama huo wa jua kali namna hiyo.?! Hata kama hupendi chama flani, penye ukweli sema ukweli sio kuongopa.

Wadau hii ni siasa tu! msijitoe ufahamu na kutumia nguvu nyingi sana kutetea wanasiasa. Usimwamini mwanasiasa yeyote 100%. Mwamini mwanasiasa 05% tu!

Napenda siasa za Zitto, lakini kamwe siwez kumwamini na kuweka imani yangu kwake hata 80%. Mwanasiasa ni mwanasiasa tu! Mi siamini kua kuna mwanasiasa yeyote mwenye uchungu na maendeleo ya wananchi. Wengi wana uchungu na maendeleo yao binafsi! Mwanasiasa wa kibongo siku zote anawafanyia wananchi kitu kidogo sana sana ili kuwatia upofu wananchi waendelee kumuweka madarakani tu.

Leo hii tunaona Mbowe au Lema wanatumia nguvu na pesa zao nyingi na kufokafoka majukwaani mkani wanauchungu na maendeleo ya wananchi wote! hapana! hawa wote wanatafuta ulaji tu! wakishika dola ndo utakua muda muafaka kwao kula raha za duni kama vile kujilimbikizia mali na kuwatumi vimada na kwenda kula raha Dubai.

Magamba ndo bas kabisaaa! wanatunyonya wananchi bila hata huruma. ACT WAZALENDO nao huenda wanajiita wazalendo kitu ambacho sio. Vyama vyote vya siasa makanjanja tu! Kila kukicha wanatokwa mapovu majukwaani ili wapate nafasi ya kinyonya nchi! Hata mie sio mzalendo 100%. Labda 50%.

We mwehu tu umejambajamba unatuachia harufu unapenda siasa za usaliti !huyo mfalme wenu kila anakoenda haenezi sera amebaki anatoa historia ya vipindi vyake vya ubunge na mijisifa tu nyambafu jabisa.
 
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT

Kwa nini ZZK na sio Prof. wa Kichina JK??
 
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT

Kwani gwajima ni nani asiulizwe?
 
Back
Top Bottom