Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
MKUTANO MKUU ULIKUWA HALALI KIKATIBA
Mkutano mkuu Halali ni lazima uitishwe na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, ni lazima Akidi itimie ya wajumbe halali zaidi ya nusu kuhudhuria lakini taratibu zote kufuatwa.
Mkutano ule wa January 18 na 19 January uliompitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais na Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea mwanza Zanzibar ulikuwa na wajumbe halali 1924 kati ya 1928.
Maneno ya Dkt. Dennis Muchunguzi ambaye ni mchambuzi wa masuala ya siasa na Mwanazuoni.
Kikao kimeongozwa na Spesho Kabwanga
Mkutano mkuu Halali ni lazima uitishwe na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, ni lazima Akidi itimie ya wajumbe halali zaidi ya nusu kuhudhuria lakini taratibu zote kufuatwa.
Mkutano ule wa January 18 na 19 January uliompitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais na Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea mwanza Zanzibar ulikuwa na wajumbe halali 1924 kati ya 1928.
Maneno ya Dkt. Dennis Muchunguzi ambaye ni mchambuzi wa masuala ya siasa na Mwanazuoni.
Kikao kimeongozwa na Spesho Kabwanga