balozimchomvu
Senior Member
- Jan 30, 2017
- 162
- 91
Duuu,,, kweli uongozi ni kipaji, kama huna huna tu. Hata uwe professor. Kwani magu angetaka hizi informations kwa nafasi yake angezikosa! Au ndio kusaka kiki?
Tatizo huyo anaenda ofisi kusoma magazeti hajui kuwa kuna watu wanaenda ofisini na wanalipwa kutokana ka kazi wanayofanya.
Kuna consultant mmoja kwenye kampuni fulani alikuwa analipwa 2000$ kwa siku...ilibidi afanyishwe kazi harakaharaka ili aondoke.
Nadhani wewe ndiye unabisha kwa hisia zaidi pasi na fact hata moja... Mnalaumu TMAA sasa hiyo smelter mjenge hapo Ikulu na TMAA muiondoshe kabisa kwenye uhakiki..Psychopathic argument!
KULIKUWA NA WAPIGADILI WENGI TANZANIA KWAIYO HATUWEZI KUWAAMINI HAO TEMMA. SISI HATUONI HASALA YA KUZUIA HUO MCHANGA MAANA HATUJAWAI FAIDIKA KWAIYO HATA UKIKAA MIAKA 10 MPAKA TUPATE SMELTER NISAWA TU. SASA KAMA WAO WATAKULA HASALA KWA MCHANGA KUZUIWA WALETE HIZO SMELTER MAANA MAKAMPUNI MAWILI HAYA WEZI SHINDWA KUWEKEZA KWA HILO. LAKINI MCHANGA HAUTOKI HATA PUNJE. GODBLESS MAGUFULITMMA ndio mdudu gani?
Ni kweli wezi sikatai hilo lakini mikataba feki ambayo serikali tawala iliingia nao ndio inatutesa hivyo wizi wao umehalalishwa na mikataba feki tulioingiaKwa namna yoyote watakayotoa maelezo....ukweli unabaki kuwa hao jamaa ni wezi huku wakishirikiana na wazawa.....
mkuu mbona uko hivyo?kuna mikataba ilishasainiwa kusafirisha huu mchanga wa shaba(makinikia ya shaba)KULIKUWA NA WAPIGADILI WENGI TANZANIA KWAIYO HATUWEZI KUWAAMINI HAO TEMMA. SISI HATUONI HASALA YA KUZUIA HUO MCHANGA MAANA HATUJAWAI FAIDIKA KWAIYO HATA UKIKAA MIAKA 10 MPAKA TUPATE SMELTER NISAWA TU. SASA KAMA WAO WATAKULA HASALA KWA MCHANGA KUZUIWA WALETE HIZO SMELTER MAANA MAKAMPUNI MAWILI HAYA WEZI SHINDWA KUWEKEZA KWA HILO. LAKINI MCHANGA HAUTOKI HATA PUNJE. GODBLESS MAGUFULI
We umeshawacheka babu zako?Mimi sijui ni Kwa nini tunangangana kuhalalisha sababu za wizi wa mchanga wenye madini kupelekwa nje sisi watanzania tumelaaniwa hata wajukuu watakujatucheka
Swali lako linaonyesha jinsi ubongo wako ulivyojaa makamasiWe umeshawacheka babu zako?
Ucpanic mkuu!Swali lako linaonyesha jinsi ubongo wako ulivyojaa makamasi
Wacha mikwala mbuzi wewe? Kabla ya kuanzishwa hii migodi ya wizi kwani Tanzania ilikuwa inaendeshwaje?ok tusubiri mgodi ufungwe then uone matokeo yake yakoje
Tuwe makini ili tunaposoma habari tuielewe! Ukitanguliza ushabiki na hisia mbele basi utaelewa kile ubongo wako unachotaka na si kile kilichandikwa. Ndugu, kwa taarifa yako huyo mkuu wa bandari alisema ''ana uhakika kwa asilimia 90 kile kilichopo ndani ni...Nakubaliana na wewe 100% ndo maana karibu Mkuu aliyetumbuliwa alipendekeza hvo ila yule muandisi wa bandari akakomaa kuwa 90% ya kilichopo kwenye makontainer ni dhahabu...nilishangaa sana kusikia vile.
Ila alijichanganya kwani alisema tena 90% ni Madini....sasa ni Madini gani hakuelezea...kusema tu 90% ni Madini ni too general..inabidi uchukue sampuni ukapime hyo 90% yako ni ya Madini gani.
Katibu mkuu mtumbuliwa alikuwa sahihi Kabisa kusema iunde team ya wataalamu watakochunguza kuna nn hasa kwenye zile container...siju kwa nn alitumbuliwa tu...sijui.
Mambo gani unaquote uzi mrefu hivi halafu unaandika sentensi moja, huoni kua unasumbua wanaotumia simu.... Acheni ubashiteWamejieleza vyema sina doubt hapo....ngoja tusubiri baba nkwabi ataropokaje
Tuwe makini ili tunaposoma habari tuielewe! Ukitanguliza ushabiki na hisia mbele basi utaelewa kile ubongo wako unachotaka na si kile kilichandikwa. Ndugu, kwa taarifa yako huyo mkuu wa bandari alisema ''ana uhakika kwa asilimia 90 kile kilichopo ndani ni...
HAKUSEMA ndani ya kontena kuna dhahabu 90%!
Ni kweli Rais ametuingiza ktk wakati mgumu kuwahi kutokea Leo hii familia Masikini hawanywi chai Kibaha sukari 1kg=2800, Unga wa mahindi ni 2200 1kgok ngoja nikwambie,, hata kama mimi ni mnufaika ila ukweli ngoja nikusaidie,, Ban anazozipiga rais wako zina faida gan kwa nchi? mfano sukari si alipiga Ban? mwisho wa siku nini kilitokea? je unadhani sukari sasa haiingii nchini? hata kama sisi ni wanufaika ila hapa rais wako anachemka