Mkurugenzi wa DP World atoroka Dubai!

Mkurugenzi wa DP World atoroka Dubai!

tubalayya

Member
Joined
Apr 16, 2010
Posts
73
Reaction score
106
Bwana Soltan Slyeyyim alikimbia Dubai juzi baada ya kubainika kushiriki katika ngono za watoto chini ya umri, na ibada za Kishetani za kunywa damu ya watoto hao, zilizokuwa zikifanyika katika kisiwa cha mhalifu Jeffery Epstein mwenye uraia wa Marekani na Israeli.

Hayo yalikuja katika kashfa zinazoendelea kufichuliwa na nyaraka zilizokutwa katika chumba cha Epstein, ambaye anashukiwa kuwa jasusi wa Mossad.

Jeffery Espstain, kwa zaidi ya miaka ishirini amekuwa akifanya kazi na Mossad ya kuwarubuni watoto wadogo na kuwapeleka kisiwani kwake, ambako aliwaandalia wakuu mbali mbali wa nchi na matajiri wakubwa, kama akina Bill Gate, Bill Clinton, na majina bado yanafichuliwa...pia kushiriki katika ibada ya shetani Baal, ambayo miongoni mwa matendo ni kunywa damu ya watoto. Hii wanadai ni ili kuwapa nguvu za kifedha na ushawishi mkubwa duniani.

Pia soma DP World imemfukuza kazi Sultan Ahmed bin Sulayem kutokana na madai ya mfanyabiashara huyo kuwa na uhusiano na Epstein

Bw, Sleyyim ameiongoza DP World kwa zaidi ya miaka thelathini na inasemekana ndiye aliyeifanya kuwa mamlaka maarufu ya bandari duniani ambapo inamiliki au kuendesha asilimia 10 ya bandari zote duniani.

Katika email yake akimwandikia Epstain, alielezea kufurahishwa kwake kwa kuhudhuria video ya kuadhibiwa kwa watoto alipoalikwa kisiwani huko!

Majina makubwa duniani yakiwemo ya wanasiasa, wakuu wa makampuni na wanasiasa duniani, akiwemo balozi wa Uingereza Marekani, Mwana Mfalme wa Uingereza na wengine, wamewajibika kujiuzulu nyadhifa zao baada ya majina yao kufichuliwa kwenye orodha ya Epstain.

Naye Epstain alifanyiwa mizengwe na Mossad na kuonekana kana kwamba amejinyonga katika jela ya Marekani akisubiri hukumu, ila hivi majuzi watu kadhaa wamesema wamemwona akidunda mjini Tel Aviv.

Kiuchumi, makampuni kadhaa Ulaya yamejitoa katika kuisapoti DP World kutokana na kashfa hiyo, ukiwemo mfuko wa dhamana wa Norway, unaoongoza duniani kuwa mfuko mkuu wa dhamana duniani kwa fedha.
 
IMG_1323.jpeg
 
Bwana Soltan Slyeyyim alikimbia Dubai juzi baada ya kubainika kushiriki katika ngono za watoto chini ya umri, na
ibada za Kishetani za kunywa damu ya watoto hao, zilizokuwa zikifanyika katika kisiwa cha mhalifu Jeffery Epstein mwenye uraia wa Marekani na Israeli.
Hayo yalikuja katika kashfa zinazoendelea kufichuliwa na nyaraka zilizokutwa katika chumba cha Epstein, ambaye anashukiwa kuwa jasusi wa Mossad.
Jeffery Espstain, kwa zaidi ya miaka ishirini amekuwa akifanya kazi na Mossad ya kuwarubuni watoto wadogo na kuwapeleka kisiwani kwake, ambako aliwaandalia wakuu mbali mbali wa nchi na matajiri wakubwa, kama akina Bill Gate, Bill Clinton, na majina bado yanafichuliwa...pia kushiriki katika ibada ya shetani Baal, ambayo miongoni mwa matendo ni kunywa damu ya watoto. Hii wanadai ni ili kuwapa nguvu za kifedha na ushawishi mkubwa duniani.

Bw, Sleyyim ameiongoza DP World kwa zaidi ya miaka thelathini na inasemekana ndiye aliyeifanya kuwa mamlaka maarufu ya bandari duniani ambapo inamiliki au kuendesha asilimia 10 ya bandari zote duniani. Katika email yake akimwandikia Epstain, alielezea kufurahishwa kwake kwa kuhudhuria video ya kuadhibiwa kwa watoto alipoalikwa kisiwani huko!

Majina makubwa duniani yakiwemo ya wanasiasa, wakuu wa makampuni na wanasiasa duniani, akiwemo balozi wa Uingereza Marekani, Mwana Mfalme wa Uingereza na wengine, wamewajibika kujiuzulu nyadhifa zao baada ya majina yao kufichuliwa kwenye orodha ya Epstain.

Naye Epstain alifanyiwa mizengwe na Mossad na kuonekana kana kwamba amejinyonga katika jela ya Marekani akisubiri hukumu, ila hivi majuzi watu kadhaa wamesema wamemwona akidunda mjini Tel Aviv.

Kiuchumi, makampuni kadhaa Ulaya yamejitoa katika kuisapoti DP World kutokana na kashfa hiyo, ukiwemo mfuko wa dhamana wa Norway, unaoongoza duniani kuwa mfuko mkuu wa dhamana duniani kwa fedha.
Hapa kuna uongo 95% na ukweli 5%. Mengi ni conspiracy theories
 
Dunia hii! Imejaa uovu wa kila aina. Kwa hayo waliyokwa wakifanya, ni dhahiri kuna miungu yao waliyokuwa wakiiabudu, na ndiyo ilikuwa ikiwaongoza kufanya huo ushetani.

Miungu inakuwa na masharti ya ajabu kama vile mwanaume kubaka vitoto vidogo au vikongwe, yaani wale wasioingiliwa na mwanaume mwingine yeyote.
Ukishaona mwanaume mwenye uwezo wa kupata mwanamke lakini anaishia kuvitafuta vitoto, hiyo inawezekana kinavhompeleka kwa hivyo vitoto siyo tamaa ya ngono bali masharti ya miungu.
 
Bwana Soltan Slyeyyim alikimbia Dubai juzi baada ya kubainika kushiriki katika ngono za watoto chini ya umri, na
ibada za Kishetani za kunywa damu ya watoto hao, zilizokuwa zikifanyika katika kisiwa cha mhalifu Jeffery Epstein mwenye uraia wa Marekani na Israeli.
Hayo yalikuja katika kashfa zinazoendelea kufichuliwa na nyaraka zilizokutwa katika chumba cha Epstein, ambaye anashukiwa kuwa jasusi wa Mossad.
Jeffery Espstain, kwa zaidi ya miaka ishirini amekuwa akifanya kazi na Mossad ya kuwarubuni watoto wadogo na kuwapeleka kisiwani kwake, ambako aliwaandalia wakuu mbali mbali wa nchi na matajiri wakubwa, kama akina Bill Gate, Bill Clinton, na majina bado yanafichuliwa...pia kushiriki katika ibada ya shetani Baal, ambayo miongoni mwa matendo ni kunywa damu ya watoto. Hii wanadai ni ili kuwapa nguvu za kifedha na ushawishi mkubwa duniani.

Bw, Sleyyim ameiongoza DP World kwa zaidi ya miaka thelathini na inasemekana ndiye aliyeifanya kuwa mamlaka maarufu ya bandari duniani ambapo inamiliki au kuendesha asilimia 10 ya bandari zote duniani. Katika email yake akimwandikia Epstain, alielezea kufurahishwa kwake kwa kuhudhuria video ya kuadhibiwa kwa watoto alipoalikwa kisiwani huko!

Majina makubwa duniani yakiwemo ya wanasiasa, wakuu wa makampuni na wanasiasa duniani, akiwemo balozi wa Uingereza Marekani, Mwana Mfalme wa Uingereza na wengine, wamewajibika kujiuzulu nyadhifa zao baada ya majina yao kufichuliwa kwenye orodha ya Epstain.

Naye Epstain alifanyiwa mizengwe na Mossad na kuonekana kana kwamba amejinyonga katika jela ya Marekani akisubiri hukumu, ila hivi majuzi watu kadhaa wamesema wamemwona akidunda mjini Tel Aviv.

Kiuchumi, makampuni kadhaa Ulaya yamejitoa katika kuisapoti DP World kutokana na kashfa hiyo, ukiwemo mfuko wa dhamana wa Norway, unaoongoza duniani kuwa mfuko mkuu wa dhamana duniani kwa fedha.
Kote moto unawaka, sasa tutakuwa wageni wa nani?
 
Dunia hii! Imejaa uovu wa kila aina. Kwa hayo waliyokwa wakifanya, ni dhahiri kuna miungu yao waliyokuwa wakiiabudu, na ndiyo ilikuwa ikiwaongoza kufanya huo ushetani.
Very Truez whether ni miungu ya kweli au la, ama imani ya kweli au potofu ni ukweli kwamba wanaongozwa na imani fulani
 
Dunia hii! Imejaa uovu wa kila aina. Kwa hayo waliyokwa wakifanya, ni dhahiri kuna miungu yao waliyokuwa wakiiabudu, na ndiyo ilikuwa ikiwaongoza kufanya huo ushetani.
Very Truez whether ni miungu ya kweli au la, ama imani ya kweli au potofu ni ukweli kwamba wanaongozw
Tumechagua kuwa wenyeji hatutaki kuwa wageni
na kwa wajomba kuna waka moto
 
Unaposema walikuwa wakinywa damu za watoto, unamaanisha walikuwa wakiwaua watoto na kunywa damu zao, au walikuwa wanawatoa damu kwa sindano, na kuwaacha watoto wakiwa hai?
Kwa bahati nzuri, yote haya yako mtandaoni na kwa ushuhuda wa waliyoyaona au kuwa katika makundi hayo. Watoto huuawa hasa na damu yao ikanywewa. Hawa watu wana nguvu kubwa hata serikali haziwawezi. Mfano, Gaza watoto 25,000 wameuawa ambalo ni war crime, nani ameshikwa? Utaona Samia wetu huenda akapelekwa huko, lakini hao...... ndiyo maana sina imani hata na UN!
 
Back
Top Bottom