Mkurugenzi wa DP World atoroka Dubai!

Mkurugenzi wa DP World atoroka Dubai!

Kwa wale wanaojua ... hii ni nafasi adhimu ya kuvunja mkataba baina ya DP World na TPA.
 
Mpiganaj mmoja wa ISIS amewahi kusema nanukuu "wanasema tusivute sigara ila wao wanavuta...wanasema tusiwe na madem ila nilishuhudia mashee kibao wakiwa na malaya huko huko ARABUNI....
😄😄 Ameshtuka kuwa wanapigwa ,

Hao wote wanajua kuwa dini ni mchongo
 
Unaposema walikuwa wakinywa damu za watoto, unamaanisha walikuwa wakiwaua watoto na kunywa damu zao, au walikuwa wanawatoa damu kwa sindano, na kuwaacha watoto wakiwa hai?
Kwani hujawahi kusikia hizi kashfa Kwa Jay-Z !? Juzi juzi tu Nick Minaj katika kumtaja X huko

Yaani wana waua kabisa
 
Kuna Watu wengi walikua wanaipambania DP World kwa karata ya UDINI.
Ipo mpaka taasisi ya kidini ilipambana sana kuipigia upatu DP World. Haya sasa kumbe boss amamwabudu Baal
😄😄 Kwani wewe ukisikia Allah una uhakika Gani kuwa ni Mungu kweli !?

Waache watu na mizimu yao
 
Back
Top Bottom