Mkurugenzi wa Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

Kwa mujibu wa jarida ya Forbes Mkurugenzi wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

Imeelezwa kuwa, hivi sasa Bezos (56) ana utajiri wa Dola za Marekani Bilioni 204.6, huku Bill Gates anayeshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa Dola Bilioni 116.1

Forbes wamesema Januari 01, Bezos alikadiriwa kuwa na utajiri wa Dola 115. Hata hivyo, kutokana na bidhaa wa Amazon kuongezeka kwa takriban 80% tangu mwanzo wa mwaka utajiri wake umezidi kupanda

Inadaiwa asingeachana na Mkewe MacKenzie Scott mwaka jana na kukubali kumpatia 25% ya kampuni hiyo yenye thamani ya Dola Bilioni 63, utajiri wa Bezos ungekuwa zaidi ya ule alionao

View attachment 1549354

===

Jeff Bezos Becomes The First Person Ever Worth $200 Billion

The world's richest person, Jeff Bezos, is wealthier than he's ever been. Early Wednesday he crossed a milestone previously unseen in the nearly four decades Forbes has been tracking net worths: With Amazon stock edging up 2% as of Wednesday afternoon, Bezos' net worth is up by $4.9 billion, making the 56-year-old the world's first-ever person to amass a $200 billion fortune.

As of 1:50 p.m. EDT on Wednesday, the Amazon founder and CEO is worth $204.6 billion—nearly $90 billion more than the world's second-richest person, Bill Gates, who's currently worth $116.1 billion.

Even adjusting for inflation, Forbes believes Bezos' fortune is the largest ever amassed. The person to come closest is Gates, who was the world's first-ever centibillionaire. Near the height of the dot-com bubble, when Microsoft reached its then-peak in 1999, Gates' net worth surpassed $100 billion, roughly $158 billion in today's dollars.

Fueled by the change in consumer habits as a result of the coronavirus pandemic, Amazon stock is up nearly 80% since the beginning of the year, and Bezos' net worth, which was roughly $115 billion on January 1, has skyrocketed in tandem. Bezos’ roughly 11% stake in Amazon makes up more than 90% of his fortune. He also owns the Washington Post, aerospace company Blue Origin and other private investments.

Bezos would be even richer had he not gone through the most expensive divorce settlement in history last year. When he split from ex-wife, MacKenzie Scott, last July, he agreed to give her 25% of his Amazon stake, a chunk of stock now worth $63 billion. Even after giving away $1.7 billion in charitable gifts earlier this year, Scott is currently the world's 14th-richest person and second-richest woman, behind L'Oréal heiress Françoise Bettencourt Meyers.

Bezos isn’t alone among tech titans with fortunes surging to massive new heights. Facebook's Mark Zuckerberg ended Tuesday as a brand-new centibillionaire, worth $103.1 billion after adding $3.4 billion to his fortune in one day, on Facebook stock gains. That surge continued early Wednesday afternoon, with Zuckerberg up an astonishing $6 billion just on Wednesday as of publication time. He's now worth $109.1 billion.

There are now more centibillionaires on the planet than ever. Joining Bezos, Gates and the newly crowned Zuckerberg is LVMH chair Bernard Arnault, who first joined the 12-figure ranks last year. Though his net worth slipped to about $80 billion at the height of the coronavirus pandemic in March, Arnault reclaimed the centibillionaire title in May and today is worth about $115 billion. This makes him the third-richest person on earth–$90 billion poorer than Jeff Bezos.

Source: Jeff Bezos Becomes The First Person Ever Worth $200 Billion
Je hizo Bilioni 200 sitamsaidia kununua pepo ya Mwenyezi Mungu ?
 
Inawezekana kutengeneza hela zaidi kwa matangazo kuliko kwa kulipisha watu.

Kwa sababu ukilipisha watu, watumiaji watakuwa wachache na watangazaji hawatavutiwa nawe.

Ukiwa na mfumo ambao haulipishinwatu kama JF, unakuwa na members wengi na watangazaji wataona unafaa kwa matangazo yao.

lakini pia ukilipisha watu buku 2 kwa mwezi au buku hawawezi kuona tabu
 
problem sio payment, users unaowaona leo apa forum is because its free and paid by some advertisers, ndo model inaokubalika afrika watu kufanya malipo sio rahisi sana and on the same level matangzo pia watu hawapendi so kuna kazi ngumu ya kubalance same time usipate loss
Nasemea payment platform ya biashara zinazifanyika jukwaa la biashara,wao wanakuwa wanapijea na kuhold malipo kabla mzigo haujaea delivered,so wanapata processing fee
 
Kwa mujibu wa jarida ya Forbes Mkurugenzi wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

Imeelezwa kuwa, hivi sasa Bezos (56) ana utajiri wa Dola za Marekani Bilioni 204.6, huku Bill Gates anayeshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa Dola Bilioni 116.1

Forbes wamesema Januari 01, Bezos alikadiriwa kuwa na utajiri wa Dola 115. Hata hivyo, kutokana na bidhaa wa Amazon kuongezeka kwa takriban 80% tangu mwanzo wa mwaka utajiri wake umezidi kupanda

Inadaiwa asingeachana na Mkewe MacKenzie Scott mwaka jana na kukubali kumpatia 25% ya kampuni hiyo yenye thamani ya Dola Bilioni 63, utajiri wa Bezos ungekuwa zaidi ya ule alionao

View attachment 1549354

===

Jeff Bezos Becomes The First Person Ever Worth $200 Billion

The world's richest person, Jeff Bezos, is wealthier than he's ever been. Early Wednesday he crossed a milestone previously unseen in the nearly four decades Forbes has been tracking net worths: With Amazon stock edging up 2% as of Wednesday afternoon, Bezos' net worth is up by $4.9 billion, making the 56-year-old the world's first-ever person to amass a $200 billion fortune.

As of 1:50 p.m. EDT on Wednesday, the Amazon founder and CEO is worth $204.6 billion—nearly $90 billion more than the world's second-richest person, Bill Gates, who's currently worth $116.1 billion.

Even adjusting for inflation, Forbes believes Bezos' fortune is the largest ever amassed. The person to come closest is Gates, who was the world's first-ever centibillionaire. Near the height of the dot-com bubble, when Microsoft reached its then-peak in 1999, Gates' net worth surpassed $100 billion, roughly $158 billion in today's dollars.

Fueled by the change in consumer habits as a result of the coronavirus pandemic, Amazon stock is up nearly 80% since the beginning of the year, and Bezos' net worth, which was roughly $115 billion on January 1, has skyrocketed in tandem. Bezos’ roughly 11% stake in Amazon makes up more than 90% of his fortune. He also owns the Washington Post, aerospace company Blue Origin and other private investments.

Bezos would be even richer had he not gone through the most expensive divorce settlement in history last year. When he split from ex-wife, MacKenzie Scott, last July, he agreed to give her 25% of his Amazon stake, a chunk of stock now worth $63 billion. Even after giving away $1.7 billion in charitable gifts earlier this year, Scott is currently the world's 14th-richest person and second-richest woman, behind L'Oréal heiress Françoise Bettencourt Meyers.

Bezos isn’t alone among tech titans with fortunes surging to massive new heights. Facebook's Mark Zuckerberg ended Tuesday as a brand-new centibillionaire, worth $103.1 billion after adding $3.4 billion to his fortune in one day, on Facebook stock gains. That surge continued early Wednesday afternoon, with Zuckerberg up an astonishing $6 billion just on Wednesday as of publication time. He's now worth $109.1 billion.

There are now more centibillionaires on the planet than ever. Joining Bezos, Gates and the newly crowned Zuckerberg is LVMH chair Bernard Arnault, who first joined the 12-figure ranks last year. Though his net worth slipped to about $80 billion at the height of the coronavirus pandemic in March, Arnault reclaimed the centibillionaire title in May and today is worth about $115 billion. This makes him the third-richest person on earth–$90 billion poorer than Jeff Bezos.

Source: Jeff Bezos Becomes The First Person Ever Worth $200 Billion
Nimegundua kitu,kuna umri ukifika hata ungekuwa na matrilion ya pesa,hautaweza kujibadilisha ili watu waweze kukuona kwa macho tu kuwa wewe uko tofauti na watu wengine,na kibaya zaidi unazidi kuonekana na muonekano wa hovyo kuliko hata masikini,Ref.Bezos,Michael Jackson,Billgate,n.k...
 
Back
Top Bottom