MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,438
- 69,163
Mwaka 1907 Balozi wa Uingereza nchini Ujerumani Eyre Crowe aliaandaa andiko zito "The Crowe Memorandum" na kulituma London. Mle ndani alisema kwamba Ujerumani inakusanya chuma na mainjiania kwa siri, jambo ambalo linaashilia kwamba wanategengeza silaha na kujiandaa kijeshi.
Mwaka 1907, Uingereza kama taifa, lilikuwa kubwa kama Marekani ya leo. Jeshi lake ndilo lilikuwa na jeshi bora kabisa la majini kuliko taifa lolote lile duniani. Eyre Crowe aliposema kwamba Ujerumani anajiandaa kupambana na Uingereza wengi ndani ya Uingereza walimpuuza na kumdharau sana kwasababu hata kama Ujerumani alikuwa na nguvu asingeweza kupambana na Uingereza.
Rule Britannia, The British Rules the Waves, The Empire The Sun Never Sets na A Charge of the Light Brigade ndizo Propaganda zilizotawala karne za 18, 19 na 20 kuhusu Muingereza. Miaka saba baadaye mwaka 1917, kwenye VITA YA KWANZA YA DUNIA, alochokisema Crowe kilitimia. Ujerumani hakuangahika kutengeneza manowari kubwa za kijeshi (Dreadnoughts) bali alibuni nyambizi (U-Boats) za kisasa na kufanikiwa kuanzisha "Sub-Marine Warfare" kitu ambacho kilikuwa kigeni duniani.
Meli za Uingereza, za Kijeshi na Kibiashara zilizamishwa kwenye bahari ya Atlantiki, Ujerumani alikuwa anaenda kushinda vita, mpaka pale Uingereza alivyosaidiwa na Marekani mwaka 1917. Uingereza alishinda vita lakini safari ya kuporomoka kwa Uchimi ndipo ilipoanza. Sasa hapa nasema nini: IN WAR, the biggest mistake is underestimating your enemy. Najua wengi mtakasirika lakini ukweli ni kwamba Marekani na Israeli walikosea mahesabu yao kama ambavyo walifanya kule Cuba 1962 na Vietnam mwaka 1965.
Hili liliwaponza wengi katika historia ya dunia: Crassus, Pompey, Darius III, Alexander the Great, Napoleon, Hitler na wengine wengi.
==============================================================================
Huyu hapa ni Mkurugenzi mstaafu wa shirika kongwe la Ujasusi duniani, MI6, Sir Alex Young. Amekuwa na uzoefu mkubwa wa kupambana na Iran kwa muda mrefu akiwa mwanajeshi na jasusi wa Uingereza. Anasema dhahiri kwamba Iran walijipanga vizuri kabla ya vita na wameonesha uwezo mkubwa. Ametumia kauli "THE UPPER HAND" kwamba Iran has better advantage than America.
Hapa alikuwa anahojiwa na The Economist. Silazimishi mtu kuamini ninachokisema, sikiliza, chambua kivyako na fanya maamuzi ya unachotaka kuamini.
Ila jambo ambalo huwezi kulipinga ni kwamba WW3 imeshaanza na itachukua muda sana kukubaliana na huu ukweli. WW1 haikuwa WW1 mpaka ilivyofika mwaka 1916 hivi ndiyo ikawa kubwa. WW2 haikuwa WW2 mpaka mwaka 1941 hivi ndiyo wataku kufahamu kwamba wamechelewa. Hii yetu itakuwa ndefu mno na mpaka kuja kusanua mchezo tutakuwa tumechelewa mno:
View: https://www.youtube.com/shorts/ZuKZHERb8_Q?feature=share
Mwaka 1907, Uingereza kama taifa, lilikuwa kubwa kama Marekani ya leo. Jeshi lake ndilo lilikuwa na jeshi bora kabisa la majini kuliko taifa lolote lile duniani. Eyre Crowe aliposema kwamba Ujerumani anajiandaa kupambana na Uingereza wengi ndani ya Uingereza walimpuuza na kumdharau sana kwasababu hata kama Ujerumani alikuwa na nguvu asingeweza kupambana na Uingereza.
Rule Britannia, The British Rules the Waves, The Empire The Sun Never Sets na A Charge of the Light Brigade ndizo Propaganda zilizotawala karne za 18, 19 na 20 kuhusu Muingereza. Miaka saba baadaye mwaka 1917, kwenye VITA YA KWANZA YA DUNIA, alochokisema Crowe kilitimia. Ujerumani hakuangahika kutengeneza manowari kubwa za kijeshi (Dreadnoughts) bali alibuni nyambizi (U-Boats) za kisasa na kufanikiwa kuanzisha "Sub-Marine Warfare" kitu ambacho kilikuwa kigeni duniani.
Meli za Uingereza, za Kijeshi na Kibiashara zilizamishwa kwenye bahari ya Atlantiki, Ujerumani alikuwa anaenda kushinda vita, mpaka pale Uingereza alivyosaidiwa na Marekani mwaka 1917. Uingereza alishinda vita lakini safari ya kuporomoka kwa Uchimi ndipo ilipoanza. Sasa hapa nasema nini: IN WAR, the biggest mistake is underestimating your enemy. Najua wengi mtakasirika lakini ukweli ni kwamba Marekani na Israeli walikosea mahesabu yao kama ambavyo walifanya kule Cuba 1962 na Vietnam mwaka 1965.
Hili liliwaponza wengi katika historia ya dunia: Crassus, Pompey, Darius III, Alexander the Great, Napoleon, Hitler na wengine wengi.
==============================================================================
Huyu hapa ni Mkurugenzi mstaafu wa shirika kongwe la Ujasusi duniani, MI6, Sir Alex Young. Amekuwa na uzoefu mkubwa wa kupambana na Iran kwa muda mrefu akiwa mwanajeshi na jasusi wa Uingereza. Anasema dhahiri kwamba Iran walijipanga vizuri kabla ya vita na wameonesha uwezo mkubwa. Ametumia kauli "THE UPPER HAND" kwamba Iran has better advantage than America.
Hapa alikuwa anahojiwa na The Economist. Silazimishi mtu kuamini ninachokisema, sikiliza, chambua kivyako na fanya maamuzi ya unachotaka kuamini.
Ila jambo ambalo huwezi kulipinga ni kwamba WW3 imeshaanza na itachukua muda sana kukubaliana na huu ukweli. WW1 haikuwa WW1 mpaka ilivyofika mwaka 1916 hivi ndiyo ikawa kubwa. WW2 haikuwa WW2 mpaka mwaka 1941 hivi ndiyo wataku kufahamu kwamba wamechelewa. Hii yetu itakuwa ndefu mno na mpaka kuja kusanua mchezo tutakuwa tumechelewa mno:
View: https://www.youtube.com/shorts/ZuKZHERb8_Q?feature=share