Mkurugenzi mpya wa BRELA

Mkurugenzi mpya wa BRELA

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Leo nilikuwa kijiweni katika story nikasikia BRELA wamepata Mkurugenzi mpya baada ya yule aliyekuwepo kustaafu, sikuweza kupata data kamili licha ya kuambulia jina lake moja la Frank.

Mwenye full data amwage humu, na Cv yake tafadhali li tuone kama anaingilika manake si unajua mwakani uchaguzi mkuu tukaanzishe Kagoda, Deep Green nyingine.
 
Muda ulotumia kuandika yote haya ungegoogle ukapata taarifa
 
Kama na yeye ataendeleza mawazo ya kuwa ukitaka kufingua deep green lazima uende dar pekee atachemsha pia.
 
ni jamaa alikuwapo hapo hapo akiwa mtumishi....
 
Hujui kama Brela wanna tovuti?nawe ni GT??!!
 
Tunamwomba abadilishe mfumo uliopo, wafanyakazi wa BRELA wanatujibu wateja wao kama tunagombana, wana lugha chafu, wanapenda kuabudiwa kama miungu, ukuomba kupewa maelekezo mtu anakuangalia kama umejipaka kinyesi halafu hakujibu, hasa wale wa pale mapokezi
 
pia kale ka utaratibu ka kwenda kulipia benki hapo chini alafu unarudi tena juu wahakiki hiyo risiti, unakuta mtu 1 anarisit mia na ushee basi utasubiri saana, kimsingi waache ukiritimba kila mkoa uwe na ofis ndogo za BRELA
 
Back
Top Bottom