Mkurugenzi mpya NSSF kuwa makini na Magori na Eunice Chiume, watakuharibia kazi

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Mkurugenz Mkuu Mteule wa Nssf Profesa Godius Kyaharara...

Awali ya yote nichukue fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuongoza Shirika hilo kubwa na linaloongoza nchini na Africa mashariki na kati kwa ujumla.

Pongezi zangu zinaambatana na kukutahadharisha juu ya Mkurugenz wa operation wa Nssf bwana Cresentius Magori na Mkuu wa habari na kitengo cha mahusiano ya umma bi Eunice Chiume...hawa sio watu wazuri hata kidogo katika utendaji wako na nakutahadharisha ukae nao kwa tahadhari...

1.Magori na Eenice Chiume wanatumia gazeti la Dira kutoa siri za shirika la umma kinafiki na uzushi kwa kusema ndan ya shirika hilo kuna ufisadi na ubadhirifu huku wakidhamiria kuharibu image ya DG alieondolewa na ofcourse wamefanikiwa kwa hilo kwan walishajenga hali ya taharuki na sintofaham ambayo hata hivyo wamekosa kuwa nayo ushahid..

Magori na Eunice Chiume wanasahau kuwa wao ndiyo viungo vikuu katika uendeshaji wa shirika hilo lkn pamoja na yote wameona potelea mbali bora tuh wakate tawi ambalo wao wawili na shirika wamelikalia ili mradi tuh wapate kile wanachostahili nacho ni kuongoza shirika hilo...

Zipo taarifa za kutosha namna jins ambavyo Magori alikua anahaha kuhakikisha anamchafua Dr Ramadhan Dau na huku yeye akihakikisha kuwa anakuwa DG Mpya wa Nssf kwa hali yeyote ikibid hata kutumia media na ushirikina..

Kutokana na kufeli kwake katika lengo hilo na Mh Rais magufuli kuamua kukuteua wewe Profesa kuwa mkurugenz mkuu tambua kabisa kuwa Magori hatokuwa na furaha na wewe na atafanya kila awezalo kukutengenezea fitna kama alivyofanya kwa Mkurugenz aliekuachia hiko kijiti...kwaiyo kuwa nae makini...

2.Magori na Eunice Chiume ni miongoni mwa watu ambao kwa kias kikubwa wamejenga uungu mtu na kufanya matumiz ya pesa hovyo ndan ya shirika hilo pasi na hata kuangalia tija na future ya shirika kwa mfano upo ushahid wa kutosha wa magori kama mkurugenz wa operation kuhusika katika kuhamasisha kutolewa kwa mikopo kwa kupitia mfuko huo wa Nssf na kwa kushirikiana na Kilimanjaro Cooperative Bank Limited KCBL iliyopo moshi kwa uzushi na ulaghai kias cha kufikia kuwasumbua wakazi wa kanda hiyo ya kaskazin na mwishowe kutofanikisha kwa suala hilo...

Ni Yeye Magori kama mkurugenz wa operation aliliasisi jambo hilo na kuwatapeli watanzania maskin pesa zao ambazo taarifa zinasema kuwa ni alihongwa ili alipigie chapuo suala hilo...hili jambo siyo la kificho kwan .Lilirushwa live hata katika vyombo vya habari last year vyombo kama I.T.V walishiriki kikamilifu katika kuonesha tukio hilo la uzinduz wa vicoba vya Nssf na KCBL kitu ambacho hadi hiv sasa wanachama hao na raia maskin hawapewa mkopo huo na kinachoendelea ni kuyumbishwa na ahad hewa...

Katika kupigania haki yao wananchi wa moshi walifikia hadi hatua ya kwenda kwa mkurugenz wa manispaa ya moshi kumshitaki magori Na Nssf pamoja na KCBl katika suala hili na bado shauri hilo lipo moto kwa kutopatikana suluhu yake...

3.Magori ni mtu anaefahamika kwa lobying na kujipendekeza kwa wanasiasa mbali mbali kwan zipo taarifa za uhusiano usio wa kawaida baina ya Naibu spika bi Tulia Ackson na Magori ambao unatia shaka na uhusiano huo ulishika moto kipind kile ambacho Magori na Tulia Ackson wakiwa wajumbe wa bodi ya TPA ambayo ilivunjwa na Mh Rais magufuli kutokana na kashfa ya Ufisadi wa makontena hiv karibun...

Kutokana na Tabia yake hiyo upo uwezekano mkubwa wa yeye kutumia kipind hiki ambacho wewe utakua mgeni hapo shirikani kukushauri vibaya na kukupotosha na mwishowe ukaharibu majukum yako ambayo Mh Rais amekupatia...

Kwa Ufupi Magori na Eunice Chiume ni JIPU ndan ya Nssf na ni watu ambao unapaswa kukaa nao kwa tahadhari au ikibid tafuta timu yako ya kufanya nayo kazi lakin siyo hao watu wawili kwan ni watu wenye hulka ya ubinafsi...unafiki na wenye kupenda madaraka na uchu wa pesa...

Mwisho nizid kukupongeza na kukutakia kila la heri katika utendaji wako wa kazi kama DG wa Nssf...

Mungu akusimamie.
 
Hizo fitina anazozifanya ambazo hazina ushahid wa kumchafua Dr Dau kupitia kwa gazeti la Nyakati ni miongoni mwa hulka na tabia zake...

Ni Mtu wa Character Assassination na lobying za kupenda madaraka...

Kwaiyo Profesa Godius uwe nae makini
 
Magori ni Jipu ndan ya Nssf na ndiye masterminder wa kutoa siri za shirika la umma kwa media tena pasi na ushahid wala uthibitisho wowote ili mradi aharibu image za watu na kujitengenezea njia ya kumfanya yeye awe ni mwenye saut ndan ya shirika hilo
 
Majungu tu mptuuu

Siyo Majungu Mkuu..

Wewe fika hata leo hapo moshi ulizia masuala ya Vicoba vya KCBl na Nssf utaambiwa jins magori alivyoshiriki katika ufisadi huo na kuwarubuni wananchi wale maskin na kisha kuwaacha solemba mpaka leo...

Siyo jambo la siri lipo wazi na uthibitisho upo..

Hilo alilifanya yeye kama Mkurugenz wa Operation...

Magori ni Jipu kubwa sana ndan ya Nssf
 
Dr Dau alikuwa na upungufu wake ila kwa maelezo mengi tunayoyasoma huyo Magori anatisha. huenda anatisha kuliko Dr aliyeondoka, tutajua mengi humuhumu....

Mkuu Mkurugenz wa operation ndie kwa kias kikubwa anahusika na mambo yoote ya operations

Na huyo jamaa amekua mfujaji wa pesa za shirika na mtu wa kukimbilia kucheza na media kuchafua image ya wale anaodhan watamkwamisha katika mipango yake
 
hizi nadhani no fitna tu, hakuna cha zaidi. mwachen profesa afanye kazi ye atajua nani wa kumwamini na taratibu za kaxi zkoo clear kabsa..

Kwaiyo anazofanya Magori siyo fitna?
Fitna ni yale mambo mtu anayaongea pasi na ushahid..
Kama mambo ambayo yanazungumzwa yana ushahid siyo fitna...

Na kinachofanyika ni kumtahadharisha huyo mkuruge mpya ajue whats going on..na siyo kumpikia mtu majungu...
Kitu kinachoongolewa ndicho kilichopo
 
Mkuu Mkurugenz wa operation ndie kwa kias kikubwa anahusika na mambo yoote ya operations

Na huyo jamaa amekua mfujaji wa pesa za shirika na mtu wa kukimbilia kucheza na media kuchafua image ya wale anaodhan watamkwamisha katika mipango yake
Kama ndiye anahusika sasa kwanini mumsifie Dau kwamba kaliendesha shirika kwa faida na msimsifie Magori??? Wale waislamu wanaomiliki mijengo ya nguvu pale Makumbusho si walikuwa wanapewa back door tenders na Dau
 
Kama ndiye anahusika sasa kwanini mumsifie Dau kwamba kaliendesha shirika kwa faida na msimsifie Magori??? Wale waislamu wanaomiliki mijengo ya nguvu pale Makumbusho si walikuwa wanapewa back door tenders na Dau

Suala la Dau kuliendesha shirika kwa faida lipo linajieleza lenyewe..
Angalia Assets na liabilities utaona...
Angalia longterm and short term investments utaona..
Angalia Trend za ulipaji wa mafao kwa wanachama utaona...
Liko wazi tuh Mkuu...

Either kuhusu ufisadi wa magori ni jambo ambalo vile vile liko wazi linajielezaa
Hata huko TPA alikoondolewa kwenye Uboard member na Mh Magufuli pale alipoivunja bodi hiyo ni kutokana na ufisadi vile vilee

Na hata huko moshi kwenye hiyo skendo ya Vicoba na jins alivyowasumbua na kuwalaghai wanachama maskin wa huko liko wazii nenda hata leo hapo moshi ulizia kwa wananchi wa kawaida kabisa watakueleza

Siyo suala la kumtetea Dr Dau au kumchafua magori hapa ni suala la kueleza ukweli...
Dr Dau ameshaondoka NSSF hahitaji utetez wowote...na kazi kubwa ambayo ameifanya inajieleza yenyeweee...
 
Mkuu Mkurugenz wa operation ndie kwa kias kikubwa anahusika na mambo yoote ya operations

Na huyo jamaa amekua mfujaji wa pesa za shirika na mtu wa kukimbilia kucheza na media kuchafua image ya wale anaodhan watamkwamisha katika mipango yake

Hii kweli Ni kali kuliko mtu anyeandika uchafu wa shirika la NSSF Kwenye media yeye Kama yumo NSSF anasafishika vipi? Hebu mleta mada fafanuwa uchafu wa NSSF Kwenye media magori ya mkono anaponaje?
Mwaka huu tutasikia mengi toka kwenu wafanyakazi wa NSSF haya endeleeni kuropoka ahahahahahhaha
 
Huyo magori ndo kichwa cha Nssf na wizi wa dau walikuwa waam bypass wanaganga mambo yao ktk kipindi cha watu watano,IDARA YA UWEKEZAZI MKURUGENZ NA MAMENEJA WAWILI wote waislamu na mkurugenzi wa utawala,hao watu watano ndo walofilisi Nssf hapo ilipo
 
Suala la Dau kuliendesha shirika kwa faida lipo linajieleza lenyewe..

Angalia Assets na liabilities utaona...

Angalia longterm and short term investments utaona..

Angalia Trend za ulipaji wa mafao kwa wanachama utaona...

Liko wazi tuh Mkuu...

Either kuhusu ufisadi wa magori ni jambo ambalo vile vile liko wazi linajielezaa

Hata huko TPA alikoondolewa kwenye Uboard member na Mh Magufuli pale alipoivunja bodi hiyo ni kutokana na ufisadi vile vilee

Na hata huko moshi kwenye hiyo skendo ya Vicoba na jins alivyowasumbua na kuwalaghai wanachama maskin wa huko liko wazii nenda hata leo hapo moshi ulizia kwa wananchi wa kawaida kabisa watakueleza

Siyo suala la kumtetea Dr Dau au kumchafua magori hapa ni suala la kueleza ukweli...

Dr Dau ameshaondoka Nssf hahitaji utetez wowote...na kazi kubwa ambayo ameifanya inajieleza yenyeweee...
Asset si ndio pamoja na miradi/operations ambazo mnasema Magori ndiye muhusika?? Sasa kama Shirika limefanikiwa kwenye asset sifa apewe Magori.. Maana mnalaumu miradi ilifeli lakini hapohapo unasema shirika limefanikiwa kwenye asset
 
Asset si ndio pamoja na miradi/operations ambazo mnasema Magori ndiye muhusika?? Sasa kama Shirika limefanikiwa kwenye asset sifa apewe Magori.. Maana mnalaumu miradi ilifeli lakini hapohapo unasema shirika limefanikiwa kwenye asset

Sasa wewe hujui kuwa kwenye miradi ndiko kwenye ufisadi?
Mbona unaongea kama umerukwa na akili mkuu.

Na kufanyika kwa miradi hata kama ikionekana kufanikiwa kusiwe ndiyo kigezo cha kuiba na kufanya ufisadi.
Hilo liko wazi.
 
Back
Top Bottom