kanyanga
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 110
- 68
Wana Mbinga,kutokana na matendo ya ubadhirifu wa fedha na ulaji rushwa kwenye kandarasi zinazotolewa na Halmashauri ya Mbinga,ikimuhusisha DED Bw Ngaga.Mkae mkijua muda si mrefu maendeleo katika Halmashauri hiyo yatakuwa sawa na hadithi za alinacha.
Kandarasi zote za ujenzi katika Halmashauri hiyo ya Mbinga,hutolewa kwa makandarasi hata kabla ya kutangazwa rasmi.Kinachofanyika ni kwamba DED huwaita wakurugenzi wa Kampuni anazotaka kuwapa kandarasi hizo,ili wampatie rushwa kabla ya kutoa hizo kandarasi.Kiwango cha rushwa hutegemea ukubwa wa Kazi,lakini si chini ya Tshs.5m
Kwa mtindo huo,utakuta kandarasi zote hutolewa kwa makampuni yaleyale kila mara.Huyu DED ni mtu fulani mjanja mjanja hivi,kwa hiyo ili kujiweka katika mikono salama,amekuwa akimpatia mgao Mkuu wa Wilaya,pamoja na Afisa Usalama wa Wilaya.
DED na DC wamehusika sana katika biashara ya kahawa msimu,ambapo ununuzi wa kahawa kutoka kwa wakulima umefanyika bila ya kutumia mizani,na badala yake upimaji wa kahawa unefanyika kwa kutumia ujazo wa plastic ndogo maarufu kama DUMLA.
Hakika huo ni wizi kwa wakulima,na mtetezu wao alistahili kuwa DC na huyo DED kama walivyofanya msimu uliopita.Lakini kwa kuwa na wao wameingia kwenye biashara hiyo msimu huu,hakuna mtetezi tena wa wakulima wa kahawa wanaoibiwa kupitia upimaji huo wa kahawa.
Madiwani wanafahamu hayo na mengine mengi but wamekaa kama mazuzu
Kandarasi zote za ujenzi katika Halmashauri hiyo ya Mbinga,hutolewa kwa makandarasi hata kabla ya kutangazwa rasmi.Kinachofanyika ni kwamba DED huwaita wakurugenzi wa Kampuni anazotaka kuwapa kandarasi hizo,ili wampatie rushwa kabla ya kutoa hizo kandarasi.Kiwango cha rushwa hutegemea ukubwa wa Kazi,lakini si chini ya Tshs.5m
Kwa mtindo huo,utakuta kandarasi zote hutolewa kwa makampuni yaleyale kila mara.Huyu DED ni mtu fulani mjanja mjanja hivi,kwa hiyo ili kujiweka katika mikono salama,amekuwa akimpatia mgao Mkuu wa Wilaya,pamoja na Afisa Usalama wa Wilaya.
DED na DC wamehusika sana katika biashara ya kahawa msimu,ambapo ununuzi wa kahawa kutoka kwa wakulima umefanyika bila ya kutumia mizani,na badala yake upimaji wa kahawa unefanyika kwa kutumia ujazo wa plastic ndogo maarufu kama DUMLA.
Hakika huo ni wizi kwa wakulima,na mtetezu wao alistahili kuwa DC na huyo DED kama walivyofanya msimu uliopita.Lakini kwa kuwa na wao wameingia kwenye biashara hiyo msimu huu,hakuna mtetezi tena wa wakulima wa kahawa wanaoibiwa kupitia upimaji huo wa kahawa.
Madiwani wanafahamu hayo na mengine mengi but wamekaa kama mazuzu