Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,058
Hao hakuna wanalolijuwa kwenye mapenzi zaidi ya kuiga tu kwa sababu wanawaona wenzao wanafanya. Mwanamke mtamu anaanzia miaka 25.Haaaa mie nacheza na under 20s.
Hao hakuna wanalolijuwa kwenye mapenzi zaidi ya kuiga tu kwa sababu wanawaona wenzao wanafanya. Mwanamke mtamu anaanzia miaka 25.Haaaa mie nacheza na under 20s.
huwezi kutoa jibu sahihi bila kujaribu position zote mbili.
Wakubwa zangu pokeeni yangu shikamoo
Nanyi wenzangu vipi yenu mamboo
Wadau wenzangu hili nalo jamboo
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidii?
Nimelileta kwenu hili suala nipate zenu shahidiii
Mkunaji kujitumua, kufanya kazi yenu kwa bidii
Ufundi wake wote kuutumia japo apate ushindii
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mkunwaji yeye ndo haswaa anayewashwaaa
Lakini haishi mwenzie mkunaji kumnyanyasaa
Hata awashwe vipi atakomaa kuvuta masaaa
Mkunwa na Mkunaji nani ansikia raha zaidiiii?
Mkunaji hachoki kujitumaa, Kila saa kuulizia
Kama mkunwaji yupo tayari huduma kuimalizia
Wala hahitaji kujiandaa, akiitwa tu jambo kamalizia
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mkunajwi binti kiburi, kingi tena kimemjaaa
Katu hakunwi bila kulipwa pesa kadha wa Kadhaa
Au kupewa zawadi, vitu na mali kadha wa kadhaa
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mkunaji yeye mwanzo huwa hodari mvumilivu
Atakubali yote ili mradi tu apewe hizo mbivu
Akishakula hizo mbivu shurti lake aache maumivu
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
Mimi nahitimisha hili jalada na kesi naifunga
Wote wawili kwa pamoja hatiani nawafunga
Kama wote mwasikia raha yanini kwingi kuzuga
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidiii?
NAOMBA MAJIBU YENU WAKUU JUU YA HILI SWALA?
Lara 1 niruhusu,nichangie mada yako
Hapo yajaa mabusu,hadi muda wa kokoliko
Wote hayo yawahusu,hakuna mwenye ujiko
Ni wote
Kila mtu ana hamu,yakuridhisha nafsi
Wanagawana utamu,wanapopata nafasi
Wanabadilishana zamu,huo wakati wa mikasi
Ni wote
Mmoja juu mwingine chini,mwendo wa kimahaba
Hakuna sketi wala bikini,anayoihitaji baba
Chumbani au sebuleni,pambano la mama na baba
Ni wote
Lara hollywoods needs you .your talented you can write songs .
huwezi kutoa jibu sahihi bila kujaribu position zote mbili.
Tooobah! You are giving me goose bumps aisee.
dada zangu King'asti na gfsonwin msinifikirie vibaya, i'm just speaking logically. sijui raha ya kukunwa so i can't say yupi anayefaidi zaidi. aliyejaribu vyote ndiye awezaye kusema ukweli, wengine watasemea upande wao tuu. think of it this way, nimeishi TZ all my life siwezi ku-comment maisha ya kenya yakoje na kama ni mazuri kuliko ya hapa. it's the same scenario as this question.Blaine whaaaaat! aisee i cant you lol!
dada zangu King'asti na gfsonwin msinifikirie vibaya, i'm just speaking logically. sijui raha ya kukunwa so i can't say yupi anayefaidi zaidi. aliyejaribu vyote ndiye awezaye kusema ukweli, wengine watasemea upande wao tuu. think of it this way, nimeishi TZ all my life siwezi ku-comment maisha ya kenya yakoje na kama ni mazuri kuliko ya hapa. it's the same scenario as this question.
Lugha za watu wa bodi ya mikopo hii, Age is all about.Age is just a Number!!!!!!!!!!!!
Wakubwa zangu pokeeni yangu shikamoo
Nanyi wenzangu vipi yenu mamboo
Wadau wenzangu hili nalo jamboo
Mkunwa na Mkunaji nani anasikia raha zaidii?
NAOMBA MAJIBU YENU WAKUU JUU YA HILI SWALA?