Lakini hajakemea utumiaji wa silaha za moto dhidi ya wananchi. Tena na watu ambao hawako kwenye sare yoyote ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.Kama umemuelewa kamaanisha maandamano ruksa, kuharibu mali no! So mnauweza kuunda Tahrir square sasa mkatulia kwa shift na watawalinda!
Jeshi huwa linakuwa makini sana kuonyesha upande kwa stage za awali namna hii! Kwa hizi taarifa ambazo hazijawa official ni tricky sana kuzisemea! CDF lazima awe makini sana kila anachosema kisije kuharibu kbs matokeo ya pande mbili zinazoshindana japo kwa hatua za sasa!Lakini hajakemea utumiaji wa silaha za moto dhidi ya wananchi. Tena na watu ambao hawako kwenye sare yoyote ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Nimekupata. Ngoja tusubiri tuone.Jeshi huwa linakuwa makini sana kuonyesha upande kwa stage za awali namna hii! Kwa hizi taarifa ambazo hazijawa official ni tricky sana kuzisemea! CDF lazima awe makini sana kila anachosema kisije kuharibu kbs matokeo ya pande mbili zinazoshindana japo kwa hatua za sasa!
Huyu John Jacob Nkunda nimesoma naye A-level nikimtangulia darasa moja. Huyu jamaa ni mpumbavu na wa ovyo, anatetea maslahi ya Kikwete, Samia, Ridhiwani na Abdul. Ni fisadi hasa na mshamba mno, hafai. Tutapigana hadi tone la mwisho. Hatuwataki.Busara ingetumika na kuchagua maneno ya kutumia hapa. Kuwaita wananchi wanaodai haki zao za msingi ati ni waharifu wakati huo huo wamekuwa wakitekwa na kufanyiwa unyama mbaya sana. Hii si kauli ya kutoka kwa kiongozi mkubwa namna hii.
Jeshi linao mfano mzuri wa Madagascar. Limalize kazi wananchi waendelee na maisha yaoHuyu John Jacob Nkunda nimesoma naye A-level nikimtangulia darasa moja. Huyu jamaa ni mpumbavu na wa ovyo, anatetea maslahi ya Kikwete, Samia, Ridhiwani na Abdul. Ni fisadi hasa na mshamba mno, hafai. Tutapigana hadi tone la mwisho. Hatuwataki.
Kwa tanzania hiyo haipo yule kaandikiwa hotuba na wanasiasa na kaisoma kama ilivyoJeshi huwa linakuwa makini sana kuonyesha upande kwa stage za awali namna hii! Kwa hizi taarifa ambazo hazijawa official ni tricky sana kuzisemea! CDF lazima awe makini sana kila anachosema kisije kuharibu kbs matokeo ya pande mbili zinazoshindana japo kwa hatua za sasa!
Shule gani?je chuo gani pia alisoma?Huyu John Jacob Nkunda nimesoma naye A-level nikimtangulia darasa moja. Huyu jamaa ni mpumbavu na wa ovyo, anatetea maslahi ya Kikwete, Samia, Ridhiwani na Abdul. Ni fisadi hasa na mshamba mno, hafai. Tutapigana hadi tone la mwisho. Hatuwataki.
Kwa tanzania hiyo haipo yule kaandikiwa hotuba na wanasiasa na kaisoma kama ilivyo
Kumbuka ni mteule wa rais
MetaBusara ingetumika na kuchagua maneno ya kutumia hapa. Kuwaita wananchi wanaodai haki zao za msingi ati ni waharifu wakati huo huo wamekuwa wakitekwa na kufanyiwa unyama mbaya sana. Hii si kauli ya kutoka kwa kiongozi mkubwa namna hii.
Binafsi sioni hoja kuhusu kuandikiwa hotuba, kwa nafasi yake ni wazi ana wasaidizi watakao kuwa wanafanya kazi hio, lakini yeye atatoa maelekezo ya maudhui, ataridhia maneno yalio andikwa kwa hotuba. Hata Rais anaandikiwa hotuba.Kwa tanzania hiyo haipo yule kaandikiwa hotuba na wanasiasa na kaisoma kama ilivyo
Kumbuka ni mteule wa rais