Mkulu kiswahili wasaidizi wake kidhungu

chanaga

JF-Expert Member
Jan 30, 2013
344
190
Naomba kujuzwa hii imekaa vipi,Jana mkulu alikua akiongea lugha yetu Taifa alipomkaribisha Waziri mkuu wa Ethiopia lakini akiwa bandarini waziri mkuu na Le professor walikua wanawasialiana na mtu yule yule kwa kiingereza,je kidhungu ndio shida au hawapendi kuiendeleza lugha yetu adhimu.
 
Elimu yetu ya Tanzania inafuata mfumo ufuatao 7-4-2-3+ ila yeye alipiga 7-4-3+ ndo maana kuna sehemu zingine unaona kabisa mabonde
 
Ni wazi sasa kuwa Mkulu anatumia kigezo kuwa 'anaienzi' lugha yetu ya kiswahili, lakini katika uhalisia wake Mkulu anakacha kuongea kimombo kwa kuwa anajua wananchi watasahihisha 'broken' yake.........
 
Naomba kujuzwa hii imekaa vipi,Jana mkulu alikua akiongea lugha yetu Taifa alipomkaribisha Waziri mkuu wa Ethiopia lakini akiwa bandarini waziri mkuu na Le professor walikua wanawasialiana na mtu yule yule kwa kiingereza,je kidhungu ndio shida au hawapendi kuiendeleza lugha yetu adhimu.
vyote ni shida ndugu,yani we acha tu!!
 
Back
Top Bottom