Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Nilipenda ile kauli ya akina Msingwa & Mbilinyi " Peoplesssss!!!.....Kamata mwizi meeeen!!! Very applicable here.
CAG hapewei meno na mtu binafsi anayeitwa KIKWETE, CAG yuko kisheria na anafanya kazi kwa mujibu wa sheria. Baba Mwanaasha ni mtumishi tu wa serikali ambaye amejitahidi kubana ripoti za CAG toka ameingia madarakani lakini ameachia mwenyewe kwa vile kila kitu sasa ni uwazi na ukweli. Angebana tu wabunge wa CHADEMA wangehoji bungeni kwa nini CAG hafanyi kazi zake kwa uhuru.Kikwete angehusika angeruhusu CAG aipeleke ripoti bungeni ikajadiliwe? hayo yote yalikuwepo kwenye ripoti.
Mmemsakama sana Kikwete, mnarukia jitihada zake kuzifanya hoja zenu kumshutumu, hivi huwa mnafikiri kiukweli>
Mie naona mnajidanganya kila kukicha. Mngeyajuwa haya kama Kikwete hajampa meno CAG?
kesi ya farasi unapeleka kwa punda. . .Aiseeeeeeeee...... usaniiii.... Uwiziiiiij wa waziiiiiii..... i feel pain... kamata hawa wote Khijah... Bi Kejo na wengine haraka sana JK do that.... plz
Mkuu mbona unakuwa nanga namna hii jamani? Kikwete ndio amempa CAG meno? Kweli? Na hizo 'jitihada zake' unazosisema ni zipi? Hizi anasubiri wanakomba kila kitu halafu anawabadilisha wizara au anawafanyia graduation ya kuhitimu University of Corruption kama kina Ngeleja walivyofanyiwa juzi? Unakuwa na akili kama za Nape bwanaKikwete angehusika angeruhusu CAG aipeleke ripoti bungeni ikajadiliwe? hayo yote yalikuwepo kwenye ripoti.
Mmemsakama sana Kikwete, mnarukia jitihada zake kuzifanya hoja zenu kumshutumu, hivi huwa mnafikiri kiukweli>
Mie naona mnajidanganya kila kukicha. Mngeyajuwa haya kama Kikwete hajampa meno CAG?