Baada ya Zitto kumbana Mkulo ktk sakata la CHC, taarifa zinasema kwamba kwa sasa kiasi kikubwa cha fedha kimetengwa kuwanunua wabunge ili wamrudi Zitto na kumuondoa katika kamati yake ya POAC.
Hata hivo, taarifa zinasema Zitto na wabunge wa kamati yake wakiwamo wale wa CCM wana msimamo mmoja na hivyo ajenda ya fisadi huyo na Mkulo wake huenda ikaota mbawa.
Tusubiri hii sinema mpya maana taarifa zinasema ina mambo mengi nyuma ya pazia hasa kwa maelezo kwamba hata CEO aliyesimamishwa aliingizwa mkenge na Mkulo kisha akamtosa.
Kama ikithibitika hii ni kashfa ya tatu ya wabunge kuhongwa ama kutaka kuhongwa ikiwamo ile maarufu ya David Jairo.