Waziri wa fedha mstaafu Mustapha Mkulo,jana 19 may alipokewa kwa shangwe na vingora na mamia ya wananchi wa jimbo lake .mapokezi hayo yalianzia mji mdogo wa Kimamba na kuhitimishwa na mkutano mkubwa wa hadhara mjini Kilosa na hafra ya chakula kwenye makazi rasmi ya mbunge iliyohudhuriwa na makada wote wa chama wakiongozwa na Elias Tarimo Dc kilosa.
Waziri wa fedha mstaafu Mustapha Mkulo,jana 19 may alipokewa kwa shangwe na vingora na mamia ya wananchi wa jimbo lake .mapokezi hayo yalianzia mji mdogo wa Kimamba na kuhitimishwa na mkutano mkubwa wa hadhara mjini Kilosa na hafra ya chakula kwenye makazi rasmi ya mbunge iliyohudhuriwa na makada wote wa chama wakiongozwa na Elias Tarimo Dc kilosa.
Waziri wa fedha mstaafu Mustapha Mkulo,jana 19 may alipokewa kwa shangwe na vingora na mamia ya wananchi wa jimbo lake .mapokezi hayo yalianzia mji mdogo wa Kimamba na kuhitimishwa na mkutano mkubwa wa hadhara mjini Kilosa na hafra ya chakula kwenye makazi rasmi ya mbunge iliyohudhuriwa na makada wote wa chama wakiongozwa na Elias Tarimo Dc kilosa.
Hizi issue za kuiba na kula na wakwenu ndio zinapelekea haya mambo.., deep down sasa hivi wabongo wote wana element za ufisadi na culture ya kuona kwamba wizi ndio ujanja, na kutokuiba ni ushamba au kuzubaa
mwizi huyo hao makada wameshapewa pilau na soda bau zidumu fikra za mwenyekiti.
ila hawaujui kuwa mwenzao ana ma vogue mawili mapya na gari zingine na ni kodi zao
Waziri wa fedha mstaafu Mustapha Mkulo,jana 19 may alipokewa kwa shangwe na vingora na mamia ya wananchi wa jimbo lake .mapokezi hayo yalianzia mji mdogo wa Kimamba na kuhitimishwa na mkutano mkubwa wa hadhara mjini Kilosa na hafra ya chakula kwenye makazi rasmi ya mbunge iliyohudhuriwa na makada wote wa chama wakiongozwa na Elias Tarimo Dc kilosa.
wenye macho mabovu (vipofu) lazima wafunikwe lakini wenye macho mazima walimfunika yeye pale Bungeni dodoma na sasa anakaa back bench mjengoni pale mpe pole na wape pole watani zangu wapogoro waambie dawa ya macho imekwisha
Hivi hao wananchi wana akili kweli? Wananchi tunaponzwa na njaa hizi. Tuseme wao hawasikii redio au kutizama tv? wana ufanano gani na Mkullo hata wamshangilie?