Mkude Vs Pappy Tshimbi nazi zaidi

Kimpira na kiufundi,kiushabiki siyo watu wana mahaba

Kiuwezo Papy Kabamba Tshishimbi yuko juu ya Jonas Mkude.

Kiuburudishaji Uwanjani ili usijutie kutoa Hela yako ya Kiingilio Jonas Mkude ni zaidi ya Papy Kabamba Tshishimbi.

Papy Kabamba Tshishimbi anacheza Kiuongo ya kushambulia zaidi

Jonas Mkude anacheza sana Kiungo ya Ukabaji zaidi

Papy Kabamba Tshishimbi tayari ana uzoefu wa Michuano ya Kimataifa

Jonas Mkude ndiyo Kwanza sasa anaanza Kucheza mechi za Kimataifa japo mwaka 2012 alipata nafasi kidogo ya Kucheza dakika kadhaa nafasi ya Marehemu Patrick Mutesa Tabu Petit Mafisango

Papy Kabamba Tshishimbi ana amebakiza muda mchache kudumu katika Soka kutokana na Umri

Jonas Mkude bado ana muda mrefu wa Kucheza mpira zaidi ndani na hata nje ya nchi kama tu ataimarisha nidhamu yake hasa ya nje ya Uwanja ambayo mara kwa mara imekuwa ikimgharimu

Ni hayo tu Mkuu na kila la kheri.
 
Kiuwezo Papy Kabamba Tshishimbi yuko juu ya Jonas Mkude.

Kiuburudishaji Uwanjani ili usijutie kutoa Hela yako ya Kiingilio Jonas Mkude ni zaidi ya Papy Kabamba Tshishimbi.

Papy Kabamba Tshishimbi anacheza Kiuongo ya kushambulia zaidi

Jonas Mkude anacheza sana Kiungo ya Ukabaji zaidi

Papy Kabamba Tshishimbi tayari ana uzoefu wa Michuano ya Kimataifa

Jonas Mkude ndiyo Kwanza sasa anaanza Kucheza mechi za Kimataifa japo mwaka 2012 alipata nafasi kidogo ya Kucheza dakika kadhaa nafasi ya Marehemu Patrick Mutesa Tabu Petit Mafisango

Papy Kabamba Tshishimbi ana amebakiza muda mchache kudumu katika Soka kutokana na Umri

Jonas Mkude bado ana muda mrefu wa Kucheza mpira zaidi ndani na hata nje ya nchi kama tu ataimarisha nidhamu yake hasa ya nje ya Uwanja ambayo mara kwa mara imekuwa ikimgharimu

Ni hayo tu Mkuu na kila la kheri.
Mkurya mwenzangu unanikoshaga sana na majibu yako!
Elimu yako unaitendea vyema,
Gentamycine oyeeeee
 
Mkude anamapungufu mengi kisoka, kwanza yuko slow sana, pili anacheza pass nyingi kwenye eneo lake, tatu uwezo wake wakucheza mipira ya juu ni mdogo, nne mzito kugeuka akiwa na mpira, atakapo elekea ndipo pass yake itakapo enda, Tano anapenda kucheza najukwaa, sita hana tabia ya kuisogeza timu kwaharaka. Kwa ufupi kama James Kotei yupo basi mkude ni vizuri akianzia nje, kwakua Kotei ana ipa timu vitu vingi kuliko Mkude. Mkude anafanana na Said Makapu si PaPaa Shishimbi. Kwangu kumfananisha Mkude na Papii Kabamba ni kumuonea Mkude.Umri wao unalingana ila uwezo wao wanapishana sana. Sifa mmoja aliyonayo Mkude ananguvu za miguu anaweza ficha mpira vinginevyo anajitaid kibongo bongo.
 
Mlima na kichuguu kwa nionanvyo nikitoa ushabiki nilionao... YULE SHISHIMBI ANAWEZA MPIRA NA ANAJIAMINI SANA..
 
Kiuwezo Papy Kabamba Tshishimbi yuko juu ya Jonas Mkude.

Kiuburudishaji Uwanjani ili usijutie kutoa Hela yako ya Kiingilio Jonas Mkude ni zaidi ya Papy Kabamba Tshishimbi.

Papy Kabamba Tshishimbi anacheza Kiuongo ya kushambulia zaidi

Jonas Mkude anacheza sana Kiungo ya Ukabaji zaidi

Papy Kabamba Tshishimbi tayari ana uzoefu wa Michuano ya Kimataifa

Jonas Mkude ndiyo Kwanza sasa anaanza Kucheza mechi za Kimataifa japo mwaka 2012 alipata nafasi kidogo ya Kucheza dakika kadhaa nafasi ya Marehemu Patrick Mutesa Tabu Petit Mafisango

Papy Kabamba Tshishimbi ana amebakiza muda mchache kudumu katika Soka kutokana na Umri

Jonas Mkude bado ana muda mrefu wa Kucheza mpira zaidi ndani na hata nje ya nchi kama tu ataimarisha nidhamu yake hasa ya nje ya Uwanja ambayo mara kwa mara imekuwa ikimgharimu

Ni hayo tu Mkuu na kila la kheri.
Hivi Mkude ana miaka mingapi kihalisia Mkuu
 
Mkurya mwenzangu unanikoshaga sana na majibu yako!
Elimu yako unaitendea vyema,
Gentamycine oyeeeee

Akhsante ila masahahisho kidogo Mimi siyo Mkurya kama labda unavyojua au kuhisi bali Kiumeni ni Mzanaki kutoka Mara ( Tanzania ) na Mtutsi kutoka Gisenyi ( Rwanda ) na Kikeni ni Mmakuwa na Mmwera kutoka Mikoani Mtwara na Lindi.

Kila la kheri.
 
Mnapokuwa mnataka kulinganisha wachezaji wawili, ni vyema wakawa wanacheza nafasi moja. Kuna siku jamaa aliweka hoja mezani kulinganisha eti Ajibu na Niyonzima, kisa mmoja amehama huku kwenda kule and vice-versa. Thshishimbi amecheza mara chache sana namba sita, mara nyingi yanga wanamtumia Makapu. Sijui kama Mkude amewahi kucheza namba nane! Hapa linganisha Mkude vs Makapu, Thshishimbi vs Ndemla/Muzamiru, Rostand vs Manula, Kessy vs Asante, Gadiel vs Erasto Nyoni, Mlipili vs Dante, Yondani vs Juuko, Okwi vs Ajibu, Chirwa vs Bocco, Martin vs Kichuya, Buswita vs Kotei (sometimes)
 
Back
Top Bottom