CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Bwana Mkuchika nimekusikia leo jioni bungeni. Mbona unakuwa na jazba. Tatizo ni kuwa CCM mnajiona mna hati miliki ya Tanzania/muungano. Not at all.
History teaches, nadhani hamkutegemea kuwa upinzani ungeliwashinda katika chaguzi mbali mbali. Historia itakuonyesha, tuombe tuwe hai!
Katika watu wenye busara CCM wewe mimi naweza kujivunia, lakini leo umenitia mashaka!
History teaches, nadhani hamkutegemea kuwa upinzani ungeliwashinda katika chaguzi mbali mbali. Historia itakuonyesha, tuombe tuwe hai!
Katika watu wenye busara CCM wewe mimi naweza kujivunia, lakini leo umenitia mashaka!