Mkorogo noma

wanawake wengi wa mkoa wa mbeya haswa maeneo ya tunduma, wanapenda kufanya hivi sijui kwanini, uwezo wa hela mdogo, au elimu, au ni maamuzi tu. mimi inanikera sana. mtu usoni anakuwa milinda, miguu na mikono peps
 
thubutu wanyaki hatuko hivyo huyo mzambia tena m wemba 'shani iwe mkamba?
 
Ina maana anapojipaka huo mkorogo anasahau kujipaka na kwnye mikono?
 
Mkutwanalila uswe vanyakyusa!!!

Mweeeeeh!!

Ila kusema ukweli Nimetokea kuwachukia sana wadada au wanawake wanaotumia mkorogo yaani huwa najisikia kichefuchefu nikiwaona pia wavaao mawigi wananikera sana.....
 
kwny viwiko, magoti na vidole ni ngumu xana kubadilisha rangi ndo hapo panapowaumbua wengi wanaojichubua
 
na wanaojichubua huwa na harufu flani hivi mbayaa inatia kinyaa tena wakishapigwa na jua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…