Pablo sanchez
Member
- Oct 18, 2015
- 24
- 3
Mie nimesoma private lakin nwaka jana baba aliachishwa alipo kua anafanya kazi ni Congo na barua alizo achishwa nazo zpo kwa lugha ya kifaransa,ndo izo pia nliziweka kwenye maombi yangu, sasa sijui niwe na matumain ya kupata au la. naomben ushauri