Mkopo wa riba nafuu

Arusha mnapatikana pia? Mna Tawi? Nataka laki 5,dhamana ni nini?
 
Arusha mnapatikana pia? Mna Tawi? Nataka laki 5,dhamana ni nini?
Ndio tupo Arusha pia hakikisha wewe ni mwajiliwa unaelipwa mshahara kupitia bank kwani hiyo ndio dhamana yako. Hatupokei kadi za gari wala hati za nyumba
 
Ndio tupo Arusha pia hakikisha wewe ni mwajiliwa unaelipwa mshahara kupitia bank kwani hiyo ndio dhamana yako. Hatupokei kadi za gari wala hati za nyumba

Da sijaajiriwa ni mjasiliamali,nauza mkaa kwa jumla,mpo arusha sehemu gani niwaone mje kuangalia store yangu ya mkaa ilipo na sehemu nayofanyia biashara ndogo ndogo za genge.
 
Kosa sio lako bali aliyekuandaa kibiashara.
Mteja wako humjui so usidharau mtu.
Pia unapimwa kwa kauli zako lazima uwe mpole na MWEREVU kujibu.
Vipi mteja akionyesha kukebehi biashara yako inabidi umvumilie tu?
 
Yani ukiona biashara ya hela ina promo mmh?
 
Unaweza kumjibu kwa upole na hekima hadi aone aibu.
Kitendo cha kumjibu vizuri kitakuongezea credit kwa wasomaji kiasi cha kutamani wakuungishe.
Kauli huza biashara sana
Nashukuru kwa semina fupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…