pepo ya Mabwege
Senior Member
- May 18, 2017
- 138
- 117
Nani kafanikiwa kupata salary advance loan? Mwezi huu?
Naona NMB chali, vyuma vimekakamaaa
Naona NMB chali, vyuma vimekakamaaa
Lini?Mbona mimi nimepata
Ukishapata mara moja kwenye mwez husika ndio bas huwez kuomba tena mpaka ulipe deniHivi hairuhusiwi kuomba hyo advance zaidi ya mara moja ukichukua mkopo?
M nlichukua sikukuu
Crdb fresh hakuna longo longoVp crdb
Mbona kwangu wanasema huduma hii itakujia hivi karibuni. Cjawahi kufanikiwa hata siku mojaCrdb fresh hakuna longo longo
Ni kweli inategemea na ofisi unayofanyiakazi. Hata Mimi miezi mi3 iliyopita ilikuwa ikiniletea ujumbe huo lakini mwezi uliofuata mambo yakawa tayari. Nafikiri kuna makubaliano lazima wayafikie kwanza na ofisi husika kabla hawajaanza kutoa huduma.Mbona kwangu wanasema huduma hii itakujia hivi karibuni. Cjawahi kufanikiwa hata siku moja
Hivi hairuhusiwi kuomba hyo advance zaidi ya mara moja ukichukua mkopo?
M nlichukua sikukuu
Eco bankhakuna bank nyingine tofauti na nmb wanaotoa hiyo salary advance