Mkuu nikufate PM maana nahitaji pia mkopoNi pm kwanza wewe nikupatie fasta kwa maelewano mazuri tu
Mkuu nikufate PM maana nahitaji pia mkopo
Haina tabu kiongozi.Ooh hiyo post ilikuwa ya Octoba 2018, nilishazitumia kwa masuala mengine. Pole.
a hawana mkuu sio wanyimiAisee watu wagumu na wanyimi sana na pesa zao.....mimi nilikuwa nahitaji milioni 7.5 (million saba na nusu tu) ila huwezi amini nimeambulia maswali tu.....
Na hata hawa wakopaji wa mtaani wengi wao wanatoa riba kali sana kwa muda mfupi ni kama wanalenga kukudhoofisha......
Vigezo vyake ni vp mkuu maana hali ni mbayakuna mkopo unatolewa riba 25% yani ni tabu tupu Kama tatizo linavumilika jikaze, tu mkuu ama uza assets zako mikopo inaleta umaskini sana please kuwa makini