Mkuu ukichukua 8,00,000Tsh ukatoa 3,90,000Tsh unabakiwa na 4,10,000Tsh ambayo ni hela inayokupasa kutumia mwezi mzima kwa miaka mitatu,
sio tatizo unaweza kujibana kwa miaka hiyo mitatu, MKUU OMBI LANGU NI KUWA UTENDEE HAKI HUO MKOPO,
usijaribu kwenda kuweka heshima Bar na kutafuta dogodgo wa kukukanda asubuhi na jioni kwa hiyo hela utakayo itabikia kwamiaka mitatu