Mkopo wa milioni 10 CRDB

mm nilikopa nikanunua gari.....ni tofauti tu ya vipaumbele, taabu ya usafiri ilinishinda......

mbona fresh tu, kuna mtu kakopa gari na kila siku akienda kazini anakula vichwa na akirudi anakula vichwa pia,mafuta,matengenezo na hela ya kula anaipata hukohuko
 

Siku hizi mikopo inabima hivyo hakuna kuhofu saaaana. Kopa ukiwa na sababu maalumu maana kwa hii mishahara kusave had I pesa uitakayo huchukua muda saana.
 
Kama ukiweza kuinua biashara ili biashara ndio ijenge na kununua viwanja. Sasa hivi concentrate kutengeneza channel stable ya pesa kwanza
 
Hivi mwaka 2011 Mulugo alikuwa ameshakamata wizara ya ELIMU? Huo uandishi Wa tarakimu fedha ni Wa ki-Mulugo kabisa!!
 
Save laki 5 kila Mwezi kwa miezi kumi then fungua Biashara ambayo una uzoefu nayo,Baada ya hapo chukua Mkopo Benki Ikibidi zaidi ya Mil10 Ingiza kwenye Biashara yako.....!Baada ya Muda mchache utapata fedha ya kununulia Kiwanja, kujenga Nyumba, Kulea familia na nyingine za kula ujana..,

Kuwa mvumilivu Ndugu yangu ,Kumbuka mambo mazuri hayaitaji Haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…