Mkopo wa mil 35

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
571
156
Wadau, habari zenu?
Naomba mnisaidie kunijulisha ni nani anaweza kunikopesha 35,000,000 nitamrudishia 1,500,000 kila mwezi kwa miezi 30.
Sina gari, sina nyumba, sina kiwanja.

Nina kazi kama permanent employee katika International company, napata take home 4,000,000/= Tshs.
Kazi nimeanza mwezi huu.
Natumia Standard Chartered Bank, wanaweza kunikopesha tu endapo kampuni yangu itakuwa ilishaweka mkataba nao (unfortunately kampuni yangu haitumii bank hii), japo kampuni yangu ilisema inaweza kuipatia details bank ninayopitishia mshahara kuwa mimi ni mwajiriwa wake.

Ni fanyeje? I need some money soon!

Nataka ninunue beach plot Mtwara.
 
ukiwa sirious rudi tena mana kwa take om ya mshahara huo huitaji kutafuta hzo 35m mkuu
 
ukiwa sirious rudi tena mana kwa take om ya mshahara huo huitaji kutafuta hzo 35m mkuu
Ebwana, I mean it. Najua nikiwa na-save 3,500,000 kwa mwezi naweza kuipata hiyo 35M. Lkn atizo ni kwamba naihitaji mapema mno hiyo 35. Moe precisely before the end of August, 2011.Please mwenye msaada kwa hili naomba sana!Thanks.
 
Wadau, habari zenu?
Naomba mnisaidie kunijulisha ni nani anaweza kunikopesha 35,000,000 nitamrudishia 1,500,000 kila mwezi kwa miezi 30.
Sina gari, sina nyumba, sina kiwanja.

Nina kazi kama permanent employee katika International company, napata take home 4,000,000/= Tshs.
Kazi nimeanza mwezi huu.
Natumia Standard Chartered Bank, wanaweza kunikopesha tu endapo kampuni yangu itakuwa ilishaweka mkataba nao (unfortunately kampuni yangu haitumii bank hii), japo kampuni yangu ilisema inaweza kuipatia details bank ninayopitishia mshahara kuwa mimi ni mwajiriwa wake.

Ni fanyeje? I need some money soon!

Nataka ninunue beach plot Mtwara.

Stanchart watakupa mkopo huohuo kulipa kwa miezi 36 makato yakiwa 1,265,000 kwa mwezi...never minding utafanyia nini....karibu
 
Mkuu ukipata barua ya ofisi kwako nakuipeleka StanChart, mkopo unatoka kirahisi tu, sema wewe unakimbia riba.
 
Mkuu ukipata barua ya ofisi kwako nakuipeleka StanChart, mkopo unatoka kirahisi tu, sema wewe unakimbia riba.
Siyo hivyo kaka, kuna mfanyakazi wa SCB aliniambia siwezi kupata mkopo kama kampuni yangu haijafanya makubaliano na Bank - kwamba inabidi iingie contract kuwa wafanyakazi wake wanaweza kuwa wanakopeshwa na SCB (haikuniingia akilini), nd'o nikaona niwaulize GREAT THINKERS na if possible mnipatie alternative. Wadau mliochangia inaonesha mnawafahamu vizuri hawa SCB, mnaweza kunipatia contact za mmoja wa wafanyakazi wa SCB. Nataka next week niwazukie ofisini, if possible nionane na Branch Manager. Lakini nahitaji mchango wenu zaidi na hata alternatives zingine. (sikimbii riba, huoni nime-promise kutoa 45,000,000 in total). I salute you all!!!!!!!!!
 
Ivi kuna bank ambazo unaweza kukopa bila mshahara wako kuwa channeled from your company's bank account? Kama ipo mnijulishe pia, maana mimi pia nimekwama! Na ni namna gani nifuate ili nipate mkopo wa bank
 
Siyo hivyo kaka, kuna mfanyakazi wa SCB aliniambia siwezi kupata mkopo kama kampuni yangu haijafanya makubaliano na Bank - kwamba inabidi iingie contract kuwa wafanyakazi wake wanaweza kuwa wanakopeshwa na SCB (haikuniingia akilini), nd'o nikaona niwaulize GREAT THINKERS na if possible mnipatie alternative. Wadau mliochangia inaonesha mnawafahamu vizuri hawa SCB, mnaweza kunipatia contact za mmoja wa wafanyakazi wa SCB. Nataka next week niwazukie ofisini, if possible nionane na Branch Manager. Lakini nahitaji mchango wenu zaidi na hata alternatives zingine. (sikimbii riba, huoni nime-promise kutoa 45,000,000 in total). I salute you all!!!!!!!!!

Mtafute huyu staff wao........Salmin 0713-688851
 
Hi Camaraderie, nashukuru sana kwa kunipatia namba ya simu, nitamtafuta. This is another step towards achieving my goal(s). Thanks so much. You are all more welcome!!
 
Siyo hivyo kaka, kuna mfanyakazi wa SCB aliniambia siwezi kupata mkopo kama kampuni yangu haijafanya makubaliano na Bank - kwamba inabidi iingie contract kuwa wafanyakazi wake wanaweza kuwa wanakopeshwa na SCB (haikuniingia akilini), nd'o nikaona niwaulize GREAT THINKERS na if possible mnipatie alternative. Wadau mliochangia inaonesha mnawafahamu vizuri hawa SCB, mnaweza kunipatia contact za mmoja wa wafanyakazi wa SCB. Nataka next week niwazukie ofisini, if possible nionane na Branch Manager. Lakini nahitaji mchango wenu zaidi na hata alternatives zingine. (sikimbii riba, huoni nime-promise kutoa 45,000,000 in total). I salute you all!!!!!!!!!
<br />
<br /
work hard man and take time too vitu vizuri havitaki haraka jipange kwanza
 
<br />
<br /
work hard man and take time too vitu vizuri havitaki haraka jipange kwanza
nahisi kama mshkaji ame panic, na ukichukua mkopo kwa panic lazima uangukie pua, kwasababu unakuwa kama umekulupuka bila ya kujipanga.
but all the best, hope utafanikiwa
 
nahisi kama mshkaji ame panic, na ukichukua mkopo kwa panic lazima uangukie pua, kwasababu unakuwa kama umekulupuka bila ya kujipanga.
but all the best, hope utafanikiwa

Duh, mshikaji mawazo yako ya ajabu kweli (how can you judge someone while you neither know him nor understand his plans?) Ulitaka nikope then ninunue gari? Use your common sense bwana unashusha hadhi ya GREAT THINKERS. You would have better kept quiet [the more the person speaks the more (s)he exposes his/her ignorance]


Camaraderie nashukuru sana n'shaongea na Salmin, 'hope mambo yataenda vizuri kwa kuwa kuna masuala itabidi afuatilie ofisini kwanza kesho atakapokuwa kazini, pia next wk nitapita Dar ofisini kwao SCB.
 
Wadau, habari zenu?<br />
Naomba mnisaidie kunijulisha ni nani anaweza kunikopesha 35,000,000 nitamrudishia 1,500,000 kila mwezi kwa miezi 30.<br />
Sina gari, sina nyumba, sina kiwanja.<br />
<br />
Nina kazi kama permanent employee katika International company, napata take home 4,000,000/= Tshs.<br />
Kazi nimeanza mwezi huu.<br />
Natumia Standard Chartered Bank, wanaweza kunikopesha tu endapo kampuni yangu itakuwa ilishaweka mkataba nao (unfortunately kampuni yangu haitumii bank hii), japo kampuni yangu ilisema inaweza kuipatia details bank ninayopitishia mshahara kuwa mimi ni mwajiriwa wake.<br />
<br />
Ni fanyeje? I need some money soon!<br />
<br />
Nataka ninunue beach plot Mtwara.
<br />
<br />
Angalia pia Stanbic bank, ili uweze kulinganisha Interest rates mwenyewe.
 
<br />
<br />
Angalia pia Stanbic bank, ili uweze kulinganisha Interest rates mwenyewe.
Nashukuru kwa ushauri wako (nitajaribu kuwa-check). Kuna aliyekuwa mwanafunzi wangu wa tuition (A-Level) - 10 years ago - anafanya kazi hapo Stanbic Bank, nitam-call anipatie details. Thanks.
 
Duh, mshikaji mawazo yako ya ajabu kweli (how can you judge someone while you neither know him nor understand his plans?) Ulitaka nikope then ninunue gari? Use your common sense bwana unashusha hadhi ya GREAT THINKERS. You would have better kept quiet [the more the person speaks the more (s)he exposes his/her ignorance]


Camaraderie nashukuru sana n'shaongea na Salmin, 'hope mambo yataenda vizuri kwa kuwa kuna masuala itabidi afuatilie ofisini kwanza kesho atakapokuwa kazini, pia next wk nitapita Dar ofisini kwao SCB.

sija judge unaenda kufanyia nini hiyo hela wala sijakushauri ukafanyie nini, according na ulivyoandika, mtu anayetumia common sense anajua ni jinsi gani ulivyo panic, ungekuwa na long term plan huo mkopo ungeuomba toka january au mwaka jana, coz m 35 si kitoto kwa mtanzania wa kawaida(only visadi anaweza kuita ni vijisenti).
ninachoweza kukwambia ni kwamba ujipange
 
sija judge unaenda kufanyia nini hiyo hela wala sijakushauri ukafanyie nini, according na ulivyoandika, mtu anayetumia common sense anajua ni jinsi gani ulivyo panic, ungekuwa na long term plan huo mkopo ungeuomba toka january au mwaka jana, coz m 35 si kitoto kwa mtanzania wa kawaida(only visadi anaweza kuita ni vijisenti).
ninachoweza kukwambia ni kwamba ujipange

22nd, asante!
 
Sawa hiyo hela ningeweza kukupatia lakini tatizo ni security ya hizo hela,kama ulivyosema huna kitu,sasa ntakupaje hiyo hela na umesema ndio kwanza umeanza kazi I mean uko kwenye probation,sasa hebu nijibu maswali yafuatayo,
1.Ikitokea umetimuliwa kazi na mie nimeshakupatia hiyo hela itakuaje.
2.Sisi ni binadamu ikitokea siombei lakini ikitokea umetangulia mbele za haki hatima ya hela yangu itakuaje?
Hiyo kwa ujumla ni ngumu sana mtu kukupa hela yake bila security yoyote,ungekua na nyumba,kiwanja kinachofanana na hiyo hela hapo sawa tunaweza fanya biashara.
 
Huyo mdau hapo juu ndio na mimi nimewaza hivo hivo!hata bamk huwa wanawaza hivo hivo!ndio maana wanataka contract na mwajiri wako!kaonane na jamaa wa AZANIA bank wataweza kukusaidia1ila wao hawahitaji mkataba na majiri just salary ipitie kwao!wanahofu wakikupa hela halafu ukatimkia marekani watapata vp hela zao?

Hebu fikiria ni wewe ungekua na hizo hela ungekua unazitoa kirahisi rahisi tu hivo?bila security wala nini?
 
Ni fanyeje? I need some money soon! Nataka ninunue beach plot Mtwara.

Baada ya kufaidika na michango ya wanajamvi, nawe lipa fadhila bsi utifaidishe.....hizo beach plots Mtwara zinaendaje, wengi wetu tuna dream za kuown beach plots!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom