Mkopo unahitajika

Mkopo unahitajika

noony

Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
65
Reaction score
52
Habari zenu wakuu,
Naomba kwa mwenye kuweza kunisaidia mkopo wa sh. 1.5M Nina tatizo kubwa nahitaji litatua...Mimi ni muajiriwa kwenye NGO naomba nitakua nalipa kila mwezi 10% tafadhali sana...

Sina dhamana yoyote.
 
Habari zenu wakuu,
Naomba kwa mwenye kuweza kunisaidia mkopo wa sh. 1.5M Nina tatizo kubwa nahitaji litatua...Mimi ni muajiriwa kwenye NGO naomba nitakua nalipa kila mwezi 10% tafadhali sana...

Sina dhamana yoyote.
Na unaamini utapata?
Ila sio mbaya kujaribu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Lete hati ya kiwanja yenye jina lako upate mkopo ila sio kirahisi hvyo.
 
Back
Top Bottom